Binadamu hawaishi mrembo😳ukiishiwa utauza viungo vyangu love😔
😳mi naogopa dhambi....Damu itatulilia....Bora tushirikiane kuuza ngada tuBinadamu hawaishi mrembo
Sasa mchague kivuruge au muuza unga😅😅😳mi naogopa dhambi....Damu itatulilia....Bora tushirikiane kuuza ngada tu
Nakupenda wewe aiseeSasa mchague kivuruge au muuza unga😅😅
😂sawa,asante kwa muda wako! ByeUtamu wa shemeji yako huo ,muumize pengine
Tusiwajazie uzi wa story huu mama
Nawahi kukuwekea booking ya cape dutch mgeni usiteseke😅😂sawa,asante kwa muda wako! Bye
❤👊Nawahi kukuwekea booking ya cape dutch mgeni usiteseke😅
Check you later..!!
😂😂😂😂🚶🚶🚶Kuna haya mashenzi Fulani Santos06 Kambi ya Fisi Chizi Maarifa @gaganika na mijitu miwili hivi hii mikitu ni kero katika jamii forum waniseme wasiniseme shauri yenu mxiuu
Tumekuja au sijajumlishwa kwenye list??Lovelovie njoo na wenzio tafadhali
Mkuu anayejua herufi sahihi kwenye hili neno, je ni kurogwa au kulogwa anisaidie. Mana kila mtu anandika lakeUnataka kusema Umughaka karogwa?