Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

mbona kama umechukizwa, umeguswa kiaina
 
Antonnia njoo uone Maya anavokazwa huku[emoji23][emoji23]
 
Dunia ina mambo mengi sana, na wengine mengi bado hatuyajui,,😢
 
Shangazi Antonnia Unaona sasa, Ally Mpemba hadi anataka kumpa mundende ili mpenzi Zarha asuguliwe ipasavyoo. nimemtamia kinoma master
 
Obas Katule
Teh! Teh! Teh! Teh! Mkuu, we Mbeya umeishika!
Ni huyo huyo mtoto wa 'OB'as 'AM'bonisye 'KA'tule (OBAMKA)

Jamaa alikuwa "anatufadhiri" sana walala hoi! Sijui kwa sasa yupo waaaapiii! Sio kama wale watoto wa Kingunge Ngombale Mwilu, KINJEKETILE (KINJE) na nguguye RUTATANEKWA (RUTA) ambao nao tulisoma shule moja!
 
Masta ana ujasiri wa pekee, hata sijui aliupata wapi
Umeona sasa Ally Mpemba anamuambia kama nguvu dogo nikupate dawa umsugue Zarha kisawa sawa.. kama kifua kidogo kwa Zarha lazima uchemuke.. nimemtamania kweli Master.. ningekuwa mie hiyo ijumaa nakuwa sitoki ndani nakuwa na mundende siku nzima napeleka moto kwa Zarha😀😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…