mshakamshaka
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 355
- 647
Kumzuia kiumbe kisizaliane ni roho mbaya zaidi ya kuua, wew ungefungiwa kizazi ungekubali?Aku sitakiiii siwez kuwa kama wewe
Kwa nn asibebe mimba ?unamwonea wivu auView attachment 2486777
Wangu huyu hapa siwezi muuza aisee ananipa raha mno ,nitumie dawa gani ya kuzuia asibebe mimba
Bado mdogo lakin ila Ndio anakaribia kukua?
Hahaaaaa haaah hatariMkanye tu kuwa asikubari kubeba mimba kabla ya kuolewa
Sisi sote ni makatili.Aku sitakiiii siwez kuwa kama wewe
Unaogopa asijekuwa single mazaView attachment 2486777
Wangu huyu hapa siwezi muuza aisee ananipa raha mno ,nitumie dawa gani ya kuzuia asibebe mimba
Bado mdogo lakin ila Ndio anakaribia kukua?
Pinya bhika kangi kupikilaa😂😂😂mbombo ngafuu
Ukifika muda wa kuchapwa katatandikwa tu.View attachment 2486777
Wangu huyu hapa siwezi muuza aisee ananipa raha mno ,nitumie dawa gani ya kuzuia asibebe mimba
Bado mdogo lakin ila Ndio anakaribia kukua?
UbhulondooNaloli mwe, indalama sikutamya bhandu mwee
Mpe P2 au mshauri atumie condomView attachment 2486777
Wangu huyu hapa siwezi muuza aisee ananipa raha mno ,nitumie dawa gani ya kuzuia asibebe mimba
Bado mdogo lakin ila Ndio anakaribia kukua?
Si kweliUzuri paka hali chakula chenye sumu
Wale wazee wa Moscow mnajua chakula kabla hujala unatakiwa ufanyaje[emoji16][emoji16][emoji16]
Ukifika muda wa kuchapwa katatandikwa tu.
Nilikua nae mzuri kweli, mwanzo alikua poa hasa yaani hadi unaona paka wengine mtaani huko unashangaa.
Kakaja kuanza kupigwaa miti baas balaa ilikua hapo.
Kalikua kanahonga balaa,kanaleta mabazazi mle ndani wanakatindua alafu wanasaidiana kanafungua friji km kuna mboga utalikuta Sufuria chini washalamba kila kitu.
Kuna siku nimewafuma live wakala mikwaju wakakimbia
,N yeye akawa paka la kitaa, badae sijui ikawaje nafkiri alizaa huko nje.
Akaanza kurudi mdogo mdogo nikamrudisha home.
Kaanza tena tabia za kimalaya.
Yaani ile mipaka inakuja inaunguruma pale nje tofauti,ndo kuona huyu hana deal nimpoteze basi.
Aaah hapo nilishindwa battle.
Aliondoka mwenyewe badae
[emoji16][emoji16][emoji16] hutaki wajukuu...! Anyway hakuna dawa ya uhakika kama operation ya kuondoa kizazi, kwahiyo we ukiona ameiva basi muandalie budget yake ya kumpeleka clinic wakaondoe ovaryView attachment 2486777
Wangu huyu hapa siwezi muuza aisee ananipa raha mno ,nitumie dawa gani ya kuzuia asibebe mimba
Bado mdogo lakin ila Ndio anakaribia kukua?
Pole sana aisee, ni kweli hapo alikuwa anataka michezo, na kuna muda anataka Aku suprise ili michezo inoge ila ikitokea ukaogopa uka react tofauti na yeye akapata hofu basi anaweza kukuumizaZamani sana tulikuwa tunafuga, siku hiyo naingia ndani akanirukia toka juu ya kabati kwa ghafla na ilikuwa giza macho yake yanawaka. Basi toka siku hiyo nawaogopa sana ingawa waliniambia alikuwa anataka mcheze tuu ila uwoga haujatoka.
Eeeh! mkuu si unajua Maya alikuja chumbani muda mfupi tu baada ya kutoka kula yale mambogamboga yake ya elfu 20Vimabaki vya mboga za majani kwenye zivu😂😂😂
Haina shida, Basi tubadili jina la uzi tuuite "Uzi Maalum wa kutafuta Paka Weusi na Weupe" [emoji16][emoji16]WAkuu poleni sana na majukum. Huyu mshikaji niliwasiliana nae, anasema anashindwa kuwapa taarifa ya kuwa hataweza kuendelea na hii story. Anadai ni ya kweli kabisa hivyo baadhi ya watu wanaoifaham familia ya huyo mpemba walifikisha taarifa kwa familia na familia imempiga marufuku kuendelea.
Anaomba sana mumsamehe kwani hataweza tena kuendelea na story yake.
NAWASILISHA.
Kumbe wewe ni mwanamkeZamani sana tulikuwa tunafuga, siku hiyo naingia ndani akanirukia toka juu ya kabati kwa ghafla na ilikuwa giza macho yake yanawaka. Basi toka siku hiyo nawaogopa sana ingawa waliniambia alikuwa anataka mcheze tuu ila uwoga haujatoka.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]naona dhima ya uzi imepotea UMUGHAKA unafeli wapi kakaHaina shida, Basi tubadili jina la uzi tuuite "Uzi Maalum wa kutafuta Paka Weusi na Weupe" [emoji16][emoji16]