kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 3,607
- 9,430
Tena unavuta picha kwenye moja ya visu vikali ulivyowahi ruka navyo [emoji1][emoji38]kitalembwa National Anthem Anthem Antonio de Guzman Carrasco putin kumbe mkiwa mnanyetuka huwa mnavuta picha kwanza ndio mzuka unakuja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!
Naendelea kusoma kwanza[emoji16]
Antonia unabalaa kipenzi,enjoy lakini[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!
Noma sanaa
Hayo ni maagano huwa yanapanda kulingana na mafanikio ya mtu, ukiambia inahitajika sadaka ya damu hata kama ni ya kuku baadae dau linapanda itahitajika ya binadamu.Unahisi kwanini alikuwa anachinja kuku kila mwezi? Boss hivi damu ya kuku inahusiana vipi na mtu kuwa tajiri au ya mtu huwa najifikiriaga nipate hii connection nashindwa au kuna kitu cha ziada?
Huyo jamaa hapo hakusema kwamba kuna maagano. Maana mimi navyojua lakini kwa ufinyu wangu maagano ni makubaliano pande zote. sasa hili swala la kuja kubadilisha kutoka kuku mpaka binadamu inakuaje au ni wao ndo wanajiamulia? Halafu niliuliza kuhusu uhusiano wa damu ya mtu na yeye kuwa tajiri? Jaribu kuielezea KWA hali ya kawaida tu kama unamuelewesha mtoto πππ mana kuna watu nawaona mimi wanapata mshara mkubwa akipokea mshahara anaeenda kunywa pombe miaka 7 yupo kazini BADO kapanga baadae anasema mimi narogwa ngoja niende KWA mgangaππau mkuu maswala ya IMANI hayaelezeki?Hayo ni maagano huwa yanapanda kulingana na mafanikio ya mtu, ukiambia inahitajika sadaka ya damu hata kama ni ya kuku baadae dau linapanda itahitajika ya binadamu.
Noumaaa sanaa hio Hahahaaa.!Tena unavuta picha kwenye moja ya visu vikali ulivyowahi ruka navyo [emoji1][emoji38]
Let's wait episode ijayo sijui lini tena!Umetisha mkuu,master ameshakula mzigo
After two weeksLet's wait episode ijayo sijui lini tena!
Kumbe unataka nikueleze hatua za kutoa sadaka ya kuku mpaka ya mtu, sina majibu ya moja kwa moja labda tumsubiri UMUGHAKA ataeleza kwenye kisa chake.Huyo jamaa hapo hakusema kwamba kuna maagano. Maana mimi navyojua lakini kwa ufinyu wangu maagano ni makubaliano pande zote. sasa hili swala la kuja kubadilisha kutoka kuku mpaka binadamu inakuaje au ni wao ndo wanajiamulia? Halafu niliuliza kuhusu uhusiano wa damu ya mtu na yeye kuwa tajiri? Jaribu kuielezea KWA hali ya kawaida tu kama unamuelewesha mtoto πππ mana kuna watu nawaona mimi wanapata mshara mkubwa akipokea mshahara anaeenda kunywa pombe miaka 7 yupo kazini BADO kapanga baadae anasema mimi narogwa ngoja niende KWA mgangaππau mkuu maswala ya IMANI hayaelezeki?
Hapana nilitaka kujua connection ya damu na mtu kuwa tajiri. Basi sawa boss ngoja tumsubiri atanisaidiaKumbe unataka nikueleze hatua za kutoa sadaka ya kuku mpaka ya mtu, sina majibu ya moja kwa moja labda tumsubiri UMUGHAKA ataeleza kwenye kisa chake.
UMUGHAKA weka sehemu ya 20 la sivyo namfungulia mbwa wangu Chizi Maarifa aje akubwekee bwekee kidogo
Si ataliwa hadi akomeKuna huyu amejitolea kabisa Kwa hiari