Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Ukweli uliopenya mpaka kwenye mifupa mpaka damuni
 
Pole sana, hawa ndio wanadamu, wengine wamevurugwa na maisha, wasikurudishe nyuma.
 
Ewaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Ningekuwa najua kichaga ningekushukuru kwa kichaga ila kwa kuwa nmezaliwa kinondoni nimekulia ilala niseme tu Tawile baba .
 
Home boy keep it up
 
Aisee
 
We nae ni kiazi kumbe,mda ulio tumia kuandika hii essay unge itumia kutu burudisha wana JF uku
 
Ila kuingiza mambo ya rehema muuza juice sijayapenda kwa kweli yanapunguza utamu wa story
 
Mda ulioutumia kuandika si ungeandika EPISODE YA 21

Kwani kutoa taarifa mpaka ufatwe pm si ungeliandikaga hapahapa watu mnapenda uboss sana.
 
Mkuu kama inawezekana tupatie na episode ya 21 halafu UMUGHAKA akija ataendeleza ulipoishia wewe.
 
Ila kuingiza mambo ya rehema muuza juice sijayapenda kwa kweli yanapunguza utamu wa story
Mtu umekabidhiwa audi mpya halafu unakwenda kujitongozesha kwa muuza juice kweli likurya ni likurya tu hata lijiite umughaka(lizee).Hili mwisho wake naliona likienda kudhulumiwa maharage lililoenda kulima huko kwa wanakyusa
 
Eeeh kumbe mzigo ushadondoshwa na mpo kimyaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…