Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Thanks for the tag best,,,,

Master ana tamaa, maya anampa usiku mzima kwa nn anahangaika na rehema ?

Naona Maya alijua jamaa anachepuka ndo maana alisusa chakula [emoji2][emoji1][emoji2]!

In reality wanasema kuwa kwa mfano ukiingiwa na jini mahaba lina wivu Sana, halipendi ushiriki na mtu mwingine !!!!

Sasa inaonekana yule Babu mganga kampigia ally kuwa ndg yako ameharibu !
 
Kwamba jamaa ana Maya wake [emoji2][emoji2][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Kalpana tayari nyingine tena
 
C
Chai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…