Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Nipo
 
Shabiki Bora wa UMUGHAKA [emoji1787][emoji1787][emoji114][emoji114][emoji119][emoji119]
 
Ila kuna mmja zamani nadhani 2018 nilikutana nae oasisi hotel morogoro njemba tall ilikuwa imevaa pensi nilivoizoom iko jf nikakausha[emoji23][emoji23]ilikuwa karibu na swimming pool inawachora warembo wakiogelea
Upo uzi wake kama sikosei na ni wa muda sana unazungumzia haya mnayosema sakwano
 
Mwingine alikuwa anauza vitu vyake na kupangisha chumba nikaenda kuangalia nyumba ile alikuwa anaenda nje ya nchi, ni bonge la mkaka hb kinoma, so smart kweli toka mwaka ule hajaingia jf tena hope anaendelea vizuri ughaibuni huko.

Mwingine mpaka leo hajui kama naijua ID yake ya huku hajui hata kama nipo JF alishare screenshot moja ikareveal ID yake. Kutwa anatuponda sana wanawake jamani wakati yeye mwenyewe eeh Mungu mshamba kweli. Kila siku pics zake amevaa kadeti, jezi ya arsenal na sendo za SUPREME. We mkaka mfyuuu zako JF anajidai matawi kweli.
 
Kwani kuvaa jezi ya Arsenal na kadet ni moja wapo ya ushamba
 
Unawajau Moderator wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…