Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Nilichokuja kugundua Kariakoo ni sehemu ya kuogopwa kuanzia kutembea, kununua vitu, kula na kufanya kazi.
Huo mgahawa nishakula...yaani wakati anasema biashara ya mghaawa uzi uliopita nikapiga picha ni ule sababu kuna wafanyakaz wapemba na hilo eneo alilotaja ndo hilo hilo...unauzwa urojo hapo watu wanaufataga
 
Huo mgahawa nishakula...yaani wakati anasema biashara ya mghaawa uzi uliopita nikapiga picha ni ule sababu kuna wafanyakaz wapemba na hilo eneo alilotaja ndo hilo hilo...unauzwa urojo hapo watu wanaufataga
Anzia big born mkuu kuelezea, ule pale gari za tandale zinapopaki. Au pale magari ya sinza zamani kabla ya mwendo kasi kulikuwa na mgahawa ulikuwa u ajaza sana zamani.
 
Anzia big born mkuu kuelezea, ule pale gari za tandale zinapopaki. Au pale magari ya sinza zamani kabla ya mwendo kasi kulikuwa na mgahawa ulikuwa u ajaza sana zamani.
Siwezi elezea exactly...maana mwenyewe k.koo nazungukaga tu napokutana na msosi hapo hapo.
Ila upo karibu na sokoni.... viti vya chuma vyenye nyekundu kwa sasa.
Upo kwenye kona ya jengo.
Juyce ipo ukwaju maembe...kwa nje...sio sehemu kubwa sana.
Labda kama sio hiyo
Ila watu wengu wanajaa kula urojo
Chakula cha kiswahil kibaya niliongia kula ndiz nyama ilikua mbaya.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huo Mgahawa wa Ali Mpemba pale Mkunguni nimeshakunywa sana Juice na nimeshakula sana Msosi. Kumbe Master ndio ulikuwa Incharge pale?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…