Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

wewe unafungua biashara sehemu hiyo hiyo ambayo mmwenzako alikuwa anapiga hela kishenzy,,.....shangaa sasa kama utapata mteja mwisho unafunga kwakuwa unaona kabisa biashara hakuna. kumbe mwenzako anatumia majini na makafara. dunia ya moto hii
 
Yani ulikua mjinga hadi si poa, ungecheza ungekufa bora uliachana na majini ya Ally mpemba
 
kuna jamaa nimesoma Naye mpwapwa secondary 2001 - 2004 anaitwa Emmanuel Holehole alitokea Gamboshi, alinambia hakuna lolote Gamboshi anashangaa watu wanamuogopa na wengine wanaomba likizo akirud aje na dawa ya mapenzi
 
Don't underestimate the power of love mkuuu! Ni noumaaa sanaa hioo!!
Masta ataanza kupambana na Ally mpemba/ mzee wa unguja ili kujitibu nakuwa fit asipatwe na litakalotumwa nahao!
 
Chai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…