Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Fear women[emoji26]
 
Don't underestimate the power of love mkuuu! Ni noumaaa sanaa hioo!!
Masta ataanza kupambana na Ally mpemba/ mzee wa unguja ili kujitibu nakuwa fit asipatwe na litakalotumwa nahao!
master nae anapuyanga,,,,anathamini Sana k, umasikini wa zaman unamrudia, unakumbuka last time walivozinguana ana ally walivyopatana akampa laki 5 , jamaa alikuwa na Hali mbaya Sana kiuchumi
 

Kalpana
 
Bujibuji Simba Nyamaume, hivi kwanza hii avata yako sijaielewa, eniwei muraa ameshusha episode hapa
 
Jamaa kafanya maamuzi ya kijinga sana aisee yaani uchi umemfanya awe bodaboda mpaka sasa

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Amani ya moyo yatosha Mkuu usione watu wana magari mazuri na wamependeza lakini moyoni wanaishi maisha ya majuto makubwa. Beba zege na endesha bodaboda na una amani ya moyo
 
Ali mpemba "wewe huna Akili na utakufa kifo kibaya sana" niliposoma hiyo line nilivurugwa kinoma. Kimsingi master ulibugi pakubwa kwanza how come uende hadi kwao Rehema kumbembeleza?

Rehema angerudi mwenyewe trust me, ungekaza mwanzo mwisho lazima angefika mahala akaelewa ila kitendo cha wewe kwenda hadi kwao na ukavua pete shida ilianzia hapo. Unakua sio kama wa majita poti [emoji1787][emoji1787]

Mpemba alishakwambia utajiri unalindwa kwa wivu mkubwa haukuelewa, waungwana hii episode ndo kama vile unaangalia muvi na scene sterling anakuboa ndio episode hii sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…