Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

wapemba ndio zao kila kitu wao lazima waangaliezie nyota sio mke sio rafiki sio wafanyakazi wanashirki sana wale watu na ni hodari sana wakutoa kafara za vifo vya ghafla utasikia tu alidondoka chooni imeisha hiyo..
 
Sahihi lakini pia hawa jamaa kwenye ulimwengu wao wa roho wakishakuchoka watakutengenezea zengwe ili ushindwe kutimiza masharti.

Kama unakumbuka magere aliambiwa alipe gharama kwa kumtoa kafara mkewe na hiyo ni baada ya mkewe kumpa funguo dada wa kazi asafishe kile chumba ambacho magere aliambiwa haitakiwi mtu yeyote kuingia humo isipokua yeye tu.

Kuna namna hawa jamaa wanakusahaulisha, si unakumbuka magere alivyosahau ile funguo hadi mkewe akaiona na kumpa dada wa kazi akafanye usafi kweye ile room. From there magere akatakiwa amtoe mkewe na aligoma mwisho mke wakamuua kwa ajali ya kimazingira.

Hii dunia ina mambo meusi hatari
 
Pindi lipo saa ngapi na siku Gani ili nami Nfuatulie?
 
master nae anapuyanga,,,,anathamini Sana k, umasikini wa zaman unamrudia, unakumbuka last time walivozinguana ana ally walivyopatana akampa laki 5 , jamaa alikuwa na Hali mbaya Sana kiuchumi
Yaniii.. sijui mwisho wake utakuaje... ngoja tuone!
 
Heeeeee kumbee! Mnarani habhae isoko dyi zamani mwizi misi lili isofyaa hahaa! Imunarani na imuhila ni dakika tatu tu twebwe twichala ikagunga aho kwikanisa dyi pendekoste!
Chiwachu ndakimenya katoyi tulichaye chane imikoani!!
iheheheee ndashimye chane kuhula naba, wachu bi muhila ikagunga, ndabashe kwizina dya yesu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…