Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Kama wazazi au mzazi ni mchawi mtoto huwezi jua kamwe, labda yule aliyeridhishwa vinginevyo wale wengine wataitwa wajinga hata kama huyo walimpa ndiye anaonekana mental lakini kumbe anawakengeza tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Halafu utegemee hao watu hizo pesa zije kuwasidia wao? hawapokei kitu hapo dhamani ya pesa inakuwa tayari ishaondolewa
 
Naomba unitag hiyo story ya Magere sijui

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
 
Huo ndiyo ukweli kabisa.
 
Hii comment ilinipitaje mazee?... mbna inatupeleka mbali na kuzua maswali zaidi.. em tiririka mkuu nna maswali yangu hapo
 
UMUGHAKA vipi kuhusu fedha za benk ulizoweka kama akiba?!

Vipi kuhusu mawasiliano na Ally Mpemba?


Fedha za kila mwisho wa mwezi kupitia pete ile, zilikuwa zinakifikiaje?! Mfukoni, benki au ndani unazikuta zimewekwa?!

Ufafanuzi tafadhari
 
Huo uzi wa Magere upo hapa JamiiForums??
 

Duh imeniuma sana japo siwez sema ni hvyo ila nimenikumbusha mwaka jana mwezi wa sita (6) mdogo wangu wa kike nae alikuwa anafanya kazi kwenye mgahawa posta ..siku alirud nyumban kaingia bafuni kuoga ile anataka aanze kuoga akahis kizungu zungu akaghahir kuoga akawa anarud chumban kwanza apumzike ile kafika mlango wa chumban kaanguka pale pale
Tukambeba na kumuwahisha rabininsia hospital pale tegeta
Akalazwa siku nne gharama sana pale tukamwamishia muhimbil (Moi) - wakasema mishipa kichwan imetanuka akafanyiwa upasuaj ukamalizika ila
Dah ….rest in peace my young sister [emoji24][emoji24]
 
Ali mpemba huyoo alifanya yake.... natania
 
Kazi nzuri sana na hongera sana Kwa mapambano, visa vyako vinatoa mafundisho mengi yanayotunga na kutupa moyo vijana wenzako. Asante sana UMUGHAKA . Ukipata muda shusha nyuzi nyingine sie wasomaji wako kindakindai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…