Ktk Million 9 UMUGHAKA alitumia tuu Tsh 30000/=Duu pole sana, lakini tukirudi nyuma kabisa UMUGHAKA, hiyo hela chanzo chake ulikopata ni pesa ya ukakasi yawezekana Mungu alitaka uwe msafi [emoji3][emoji3] kwahiyo ilirudi kwao, ila pole sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂..amekuachia Mark kichwan uyu umughaka . Safi mkuu jamaa amejua kutufurahishaNimepita hapa Gongo la mboto, nikakumbuka hii story ya UMUGHAKA na ile nyumba alipanga hapa.View attachment 2456678
[emoji28][emoji28]baby zu umeona umughaka alivyo itikia Salam huku? Kaambiwa Assalaam Aleykum kajibu Aleko msalam
We jamaa hii ni page ya 34 kwann usirudi nyumaJamani hii stori mpaka leo haina mwendelezo? Kama upo tumeni link ilikuaje
[emoji23]ili tukinunua shamba tuwapigishe kazi hadi wasirudi tena
kumbe una gari mkuuNimepita hapa Gongo la mboto, nikakumbuka hii story ya UMUGHAKA na ile nyumba alipanga hapa.View attachment 2456678
JF kuna watu wanawaza mbali sana! Hata "kilichojificha" ,wanakiona! Nimejiridhisha nilichokuwa nami "nimekiwaza"!kumbe una gari mkuu
Kuna mwanamke wa kikurya aliwah kumuuma kijana mmoja mkono mpaka akamtoa damu baada ya kumkuta kijana yule kakaa kwenye siti yake na alipomuomba kumpisha kijana alikataa na kusema kuwa kakatiwa hyo siti na konda hvyo ni yake na hawez kutokahao wanawake wa kikurya we kabila lingine huwawezi,kabla ya kuhamia kwenye nyumba yao mpya huku chanika,baada ya kumaliza kushusha mizigo,uliibuka mzozo mkubwa kati ya mke na mume,zilipigwa si chini ya masaa matatu,sisi tunaangalia tu,kuuliza kisa nini,tunaambiwa hao ni wakulya huo mzozo ni kama brekifasti,lanchi bado,tulichoka sana aisee...
Siku naiona hyo 1D nilizan ni wewe umeitengeneza baada ya kupigwa ban kama kawaida yakoAchaneni nae huyo Mwendawazimu. Ataiga ID yangu ila IQ yangu, Uchambuzi wangu na Uwasilishaji wangu wa Masuala Mtambuka hapa JamiiForums kamwe hatoweza Kuiga, Kuniiga na Kuyaiga.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Kwa nini usimuwoe
Itapendeza zaidi.Kwa nini usimuwoe ?
hao ni shida,majina yao ni roby,gati,wankulu,,niliwahi fanya kazi mgodi wa nyamongo,tulipewa utaratibu kuwa tutembee kuanzia 3,na mwisho kurudi camp ni saa 3 usiku,kuna mfanyakazi mzungu wa exploration,kutoka australia,asubuhi tulikuta kauwawa na wakulya,tuliogopa sana,ingawa wanawake wao waliwapenda sana wafanyakazi,,,akisema,NTAKUGECHA MURA,kimbia kama upepo...Kuna mwanamke wa kikurya aliwah kumuuma kijana mmoja mkono mpaka akamtoa damu baada ya kumkuta kijana yule kakaa kwenye siti yake na alipomuomba kumpisha kijana alikataa na kusema kuwa kakatiwa hyo siti na konda hvyo ni yake na hawez kutoka
Baada ya lile tukio ilibidi yule mama atafutiwe siti na akaanza kujitapa kwa kusema kuwa haogopi mtu ameshazoea kupigwa na mume wake mpaka anazimia na akizinduka wanaendelea na ugomvi
Rubbish.Siku naiona hyo 1D nilizan ni wewe umeitengeneza baada ya kupigwa ban kama kawaida yako