Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Naam mambo mazito
Haiboi big up kwako UMUGHAKA
 
Je Kuna Uzi mwingine umeniona najibizana na kutukanana na watu Zaid ya huu ya jamaa enu umughaaka aliyenitukna matusi mazito ,

Sent from my Infinix X650 using
Je Kuna Uzi mwingine umeniona najibizana na kutukanana na watu Zaid ya huu ya jamaa enu umughaaka aliyenitukna matusi mazito ,

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
We nae pimbi tu mtu
Alikukutukana kwenye uzi x afu we unakuja uzi y kutukana sasa si urudi ule uzi x uendelee kutukana huko..
 
Ally Mpemba siyo mtu wa kawaida, atakuwa kamgeuza msukule Mama au Mke wake!
 
Pesa,pesa no mara whaa....[emoji2]
 
Patamu hapo
 
Lucha njoo upagawe
 
Sa
sasa leo bro tupe ofa ya episode nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…