Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Mkuu kuna sehemu umeniacha
Sehemu ya 15 ile kabla ya hii hakuna connection sijui usingizi wangu ...
 
Kwasababu mawazo yaliniijia itakuwa ni vijana wezi wameamua kuja kuiba. Sasa na akili zangu za kikuria nilitaka nimkamate ili nizoe pointi Kwa mpemba azidi kunikubali.

Ahaaa ulitaka kuchukua point 3 Mzee Ila bila Shaka tayari alishachukua nyota yako au nafsi yako ambayo ndio uyo mtu uliemuona anafanana na wewe kwa kila kitu
 
Embu nawew tulia huko ipinda unadhani huyu jamaa Hana Kaz za kufanya ,kazi zake Ni bodaboda so tulia alete anavyotaka

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Dr unachonifurahisha ni kuwa upo flexible, pande zote unapita nazo,ukiamua kumshushia mavi jamaa unamnyea kisawasawa😂,na inapobidi unamtetea na tuk tuk lake😃😃
 
Dah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…