Hello!.
Hope mko poa.
Ndugu zangu wa mkoa wa Mbeya,nimeingia usiku huu hapa Mbeya na nitakuwa hapa kwa siku kadhaa,hivyo kwa atakaye taka kuonana na mimi ani-pm ili tufahamiane.
Jumapili nategemea kwenda Gereza la Luanda kumuona na kumsalimia Mshikaji wangu Gabriel (Gabi).Huu umekuwa utamaduni wangu kila mwanzo wa mwaka kuja kumjulia hali jamaa yangu aliyehukumiwa miaka 30.
Nawapenda sana!.
Poapoa mkuu,huo ndio utu kaka.Hello!.
Hope mko poa.
Ndugu zangu wa mkoa wa Mbeya,nimeingia usiku huu hapa Mbeya na nitakuwa hapa kwa siku kadhaa,hivyo kwa atakaye taka kuonana na mimi ani-pm ili tufahamiane.
Jumapili nategemea kwenda Gereza la Ruanda kumuona na kumsalimia Mshikaji wangu Gabriel (Gabi).Huu umekuwa utamaduni wangu kila mwanzo wa mwaka kuja kumjulia hali jamaa yangu aliyehukumiwa miaka 30.
Nawapenda sana!.
Wanakuja, tuendelee na ep inayofataHello!.
Hope mko poa.
Ndugu zangu wa mkoa wa Mbeya,nimeingia usiku huu hapa Mbeya na nitakuwa hapa kwa siku kadhaa,hivyo kwa atakaye taka kuonana na mimi ani-pm ili tufahamiane.
Jumapili nategemea kwenda Gereza la Ruanda kumuona na kumsalimia Mshikaji wangu Gabriel (Gabi).Huu umekuwa utamaduni wangu kila mwanzo wa mwaka kuja kumjulia hali jamaa yangu aliyehukumiwa miaka 30.
Nawapenda sana!.
Huyu boya anawapanga tu na story zake za kutunga. Ashawaona manaofatilia sana story zake wote mafwala. Ndo maana anawapqnha muda mrefu bila kuweka muendelezo aonr reaction ipo vp
Kawageuza watu misukule humuHuyu boya anawapanga tu na story zake za kutunga. Ashawaona manaofatilia sana story zake wote mafwala. Ndo maana anawapqnha muda mrefu bila kuweka muendelezo aonr reaction ipo vp
Hivi alikosa Nini?Hello!.
Hope mko poa.
Ndugu zangu wa mkoa wa Mbeya,nimeingia usiku huu hapa Mbeya na nitakuwa hapa kwa siku kadhaa,hivyo kwa atakaye taka kuonana na mimi ani-pm ili tufahamiane.
Jumapili nategemea kwenda Gereza la Ruanda kumuona na kumsalimia Mshikaji wangu Gabriel (Gabi).Huu umekuwa utamaduni wangu kila mwanzo wa mwaka kuja kumjulia hali jamaa yangu aliyehukumiwa miaka 30.
Nawapenda sana!.
Tatizo limekua kubwawewe pia msukuke umekuja kumuandikia bibi yako huku? acheni uchoko hatutaki mashoga kima nyie
Mzee anzisha uzi wako ukiwa mzuri tutakuja tu kusoma story zako ila ishu ya kumponda umughaka haitakusaidia kwanza tunampango wa kumpa Phd ya heshima humu jf.Kawageuza watu misukule humu
Soma story yake ya 2 na utajuaHivi alikosa Nini?
Iweke link apaSoma story yake ya 2 na utajua
Gabi mwamba sn,msalimie sana mkuu[emoji123]Hello!.
Hope mko poa.
Ndugu zangu wa mkoa wa Mbeya,nimeingia usiku huu hapa Mbeya na nitakuwa hapa kwa siku kadhaa,hivyo kwa atakaye taka kuonana na mimi ani-pm ili tufahamiane.
Jumapili nategemea kwenda Gereza la Ruanda kumuona na kumsalimia Mshikaji wangu Gabriel (Gabi).Huu umekuwa utamaduni wangu kila mwanzo wa mwaka kuja kumjulia hali jamaa yangu aliyehukumiwa miaka 30.
Nawapenda sana!.
Jitu kama hili linasifia majambazi, hii nchi ina watu wa hovyo sana.Gabi mwamba sn,msalimie sana mkuu[emoji123]
Umwamba wake Ni Nini??Gabi mwamba sn,msalimie sana mkuu[emoji123]
Thread 'Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani' Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua NyumbaniIweke link apa
Kumbe hii issue ya gabi ipo kweli, akitoka na yeye umpe bodaboda asije akarudia hizo mambo.Hello!.
Hope mko poa.
Ndugu zangu wa mkoa wa Mbeya,nimeingia usiku huu hapa Mbeya na nitakuwa hapa kwa siku kadhaa,hivyo kwa atakaye taka kuonana na mimi ani-pm ili tufahamiane.
Jumapili nategemea kwenda Gereza la Ruanda kumuona na kumsalimia Mshikaji wangu Gabriel (Gabi).Huu umekuwa utamaduni wangu kila mwanzo wa mwaka kuja kumjulia hali jamaa yangu aliyehukumiwa miaka 30.
Nawapenda sana!.
Pm zimefungwaHello!.
Hope mko poa.
Ndugu zangu wa mkoa wa Mbeya,nimeingia usiku huu hapa Mbeya na nitakuwa hapa kwa siku kadhaa,hivyo kwa atakaye taka kuonana na mimi ani-pm ili tufahamiane.
Jumapili nategemea kwenda Gereza la Ruanda kumuona na kumsalimia Mshikaji wangu Gabriel (Gabi).Huu umekuwa utamaduni wangu kila mwanzo wa mwaka kuja kumjulia hali jamaa yangu aliyehukumiwa miaka 30.
Nawapenda sana!.
Sasa huku umefuata nini?Huyu boya anawapanga tu na story zake za kutunga. Ashawaona manaofatilia sana story zake wote mafwala. Ndo maana anawapqnha muda mrefu bila kuweka muendelezo aonr reaction ipo vp