Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Daaah una Moyo wako Aisee...be blessed
 
Nakuusia kijana mkakati wa kuchafua wapemba utakuletea shida. Maana naona hili unalichukulia poa. Wewe Kiarabu unakifahamu? Ulijuaje kuwa aliongea kiarabu? Hizi ni fitna na propaganda chafu sana.
Ungeweza kuchagua jina lolote ila uliamua kuchagua Chizi Maarifa , huwezi kuwa chizi ukawa na maarifa 😊😊
 

Ona hili lidubwasha linavyoteseka
 
Dondosha episod nyingne ziwe 2 leo
 
Ayeee
 
Daaah mwana mbn kama uko serious sana?
 

Kazi nzuri sana
 
Tumoghele
Mbeya hatuna Mbambamba.

Isingekuwa hayo maruweruwe ya kina Ally Mpemba tungeonana Mkuu.
Tukionana hayo lazima yalipuke.
 
kuwa na akili kipaji, Mshukuru aliye juu Kama kakujaria. Leo sio kesho nakukumbusha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…