Daaah una Moyo wako Aisee...be blessedHello!.
Hope mko poa.
Ndugu zangu wa mkoa wa Mbeya,nimeingia usiku huu hapa Mbeya na nitakuwa hapa kwa siku kadhaa,hivyo kwa atakaye taka kuonana na mimi ani-pm ili tufahamiane.
Jumapili nategemea kwenda Gereza la Ruanda kumuona na kumsalimia Mshikaji wangu Gabriel (Gabi).Huu umekuwa utamaduni wangu kila mwanzo wa mwaka kuja kumjulia hali jamaa yangu aliyehukumiwa miaka 30.
Nawapenda sana!.
Ungeweza kuchagua jina lolote ila uliamua kuchagua Chizi Maarifa , huwezi kuwa chizi ukawa na maarifa 😊😊Nakuusia kijana mkakati wa kuchafua wapemba utakuletea shida. Maana naona hili unalichukulia poa. Wewe Kiarabu unakifahamu? Ulijuaje kuwa aliongea kiarabu? Hizi ni fitna na propaganda chafu sana.
Sasa UMUGHAKA ,hiyo siku mliyolala Zenji, nani aliyefungua ule mlango na kukilisha kile kiumbe?Mpaka hapa unatumika kumnufaisha mpemba...huna chako hapo.
Pimbi MaarifaNakuusia kijana mkakati wa kuchafua wapemba utakuletea shida. Maana naona hili unalichukulia poa. Wewe Kiarabu unakifahamu? Ulijuaje kuwa aliongea kiarabu? Hizi ni fitna na propaganda chafu sana.
kiumbe alikula damu ya umughaka pale unguja hadi akasikia maumimivuSasa UMUGHAKA ,hiyo siku mliyolala Zenji, nani aliyefungua ule mlango na kukilisha kile kiumbe?
Hili likurya lijinga sana halina akili hata kidogo litakuja kufa kifo cha kijinga sana,baba yake aliona mbali sana kulitimua nyumbani lingemuharibia watoto wake na hizo akili zake za kuuza pesa feki & kupiga debe sirari.Bangi zimeliharibu sana ubongo na humo kwenye uboda boda litakachotoamo ni ulemavu wa mwili maana akili tayari halina
Uyu jamaa mbona kauanza mwaka vby[emoji23][emoji23]Nakuusia kijana mkakati wa kuchafua wapemba utakuletea shida. Maana naona hili unalichukulia poa. Wewe Kiarabu unakifahamu? Ulijuaje kuwa aliongea kiarabu? Hizi ni fitna na propaganda chafu sana.
kwa vitisho hivi unajidhirisha wewe ni mchawiNakuusia kijana mkakati wa kuchafua wapemba utakuletea shida. Maana naona hili unalichukulia poa. Wewe Kiarabu unakifahamu? Ulijuaje kuwa aliongea kiarabu? Hizi ni fitna na propaganda chafu sana.
Dondosha episod nyingne ziwe 2 leoUtajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 16.
Ukiachilia mbali kile kivuko cha Kigongo - Busisi pamoja na kupanda ile mitumbwi ya shemeji yangu(masamaki) kule kisiwani Ijinga sikuwahi kabisa kupanda Boti ya kisasa,hiyo ndiyo ilikuwa mara yangu ya Kwanza kupanda ile boti nzuri naya kisasa.
Sababu za mimi na Ally Mpemba kwenda Chumbe zilikuwa mbili,moja;Ni kwamba baada ya mimi kumshuhudia yule kiumbe wa ajabu mle ndani,Ally Mpemba kuna miiko aliivunja kutokana na maelekezo ya mtaalamu wake,hivyo tulienda ili akaone namna ya kurekebisha kabla mambo hayajaharibika,pili; ilikuwa ni mimi kuzitaka mali baada ya ushawishi wa Ally Mpemba,sasa ilifika hatua na mimi nikashawishika na kuona ile kazi yangu ya usajili wa line ilikuwa ikinipotezea muda tu.
Baada ya kufika Unguja hatukutaka kupoteza muda,Ally Mpemba aliniongoza hadj kwa huyo mtaalamu aliyekuwa akimfahamu hapo Chumbe,mawazo yangu nilidhani uenda huyo jamaa angekuwa na makolo kolo kama ambavyo nilizoea kuwaona wataalamu wengi wa mikoani namna wanavyokuwa,ila yeye alikuwa kawaida tu!.Baada ya kufika kwa huyo mtu hatukumkuta na tulimkuta mwanamke aliyekuwa amevaa hijab akamwambia Ally Mpemba kwamba ameenda kuswali na tulichofanya tuliamua kumsubiri pale kwake.
Aliporejea kutoka kuswali alitukuta tukiwa tumekaa kwenye mkeka tukimsubiri,baada ya kumuona Ally Mpemba walisalimiana na mimi pia nikamsalimu.Alimuita Ally Mpemba akamwambia aingie ndani,baada ya mazungumzo ya takribani nusu saa,Ally Mpemba alirudi nje akiwa amebeba Vitu ambavyo sikuvielewa na akanitaka tuongozane nae.Nilimfuata nyuma Ally Mpemba hadi tukaifikia miti pori iliyokuwa kando ya Bahari.Nyuma yetu pia alikuwa akija yule mzee aliyekuwa amevaa kanzu huku mkononi akiwa amebeba Mkeka na vitu vingine,baada ya kufika eneo ambalo yeye aliona ndipo panafaa,alituambia tuvue nguo.
Mzee "Vua nguo zenu"
Mimi na Ally Mpemba tulivua nguo tukabaki kama tulilivyozaliwa,baada ya hapo alinikabidhi kichupa kidogo ambacho kilikuwa cha Gliselin,sasa kile kichupa ndani yake hakukuwa na Gliselin bali kilikuwa na kitu kama damu,baada ya kukipokea akanikabidhi na bangiri la chuma(Hili huwa wanapenda kulivaa watu mbalimbali mikononi).Sasa baada ya kukabidhiwa hivyo vitu alitutaka tukae chini kwenye ule mkeka,alitoa kopo kama chetezo kisha akaweka vitu kama tumbaku iliyokauka,baada ya kuona imeenea kwenye kile chombo akatoa kiberiti akawasha,baada ya kuwasha akaanza kuongea kwa kiarabu huku akiwa anatikisa mgongo kwa kwenda mbele na kurudi nyuma.Baada ya kuwasha kile chombo kulikuwa na harufu nzuri sana kama udi lakini yenyewe ilikuwa nzuri zaidi ya udi.
Alipomaliza kusoma kisomo aliniambia nisimame.
Mzee "Waiyona ile bahari?"
Mimi "Ndiyo naiona"
Mzee "Weye nenda pale,ukifika pale chukua hicho kikopo mwaga Baharini ukimaliza chota maji na hicho kikopo uyalete hapa"
Kweli niliondoka zangu kushuka baharini huku nikiwa mtupu kama nilivyozaliwa,yale maeneo hakukuwa na watu kabisa na kulikuwa na miti ambayo isingekuwa rahisi watu kuona mnafanya kitu gani,sikufahamu kama mara zote Ally Mpemba alikuwa akija Unguja analetwa hilo eneo au siku hiyo tulipelekwa tu kwa kazi maalumu.
Nilipofika lile eneo la wazi la bahari nilifanya kama mzee alivyoniambia kisha nikageuza kurudi,nilipofika nilikuta Ally Mpemba akiwa amelazwa kwenye ule mkeka akiwa anapakwa mafuta ambayo sikuyafahamu mgongoni hadi miguuni,sasa alipomaliza ile shughuli kwa Ally Mpemba akaniambia nikae chini kwenye ule mkeka.
Mzee "Sogea kaa hapa"
Baada ya kukaa kwenye ule mkeka akachukua kale kakopo ka Gliselin nilikokuwa nimeweka maji ya bahari akamimina yale maji kwenye chombo kidogo cha udongo kilichokuwa kama chungu lakini kilikuwa kidogo kisha akaanza kuchanganya kwa ndani na mikono,baada ya kumaliza akaanza visomo kwa lugha ya kiarabu,sikuelewa alichokuwa anamaanisha ni kitu gani,sasa baada ya kumaliza akachukua lile bangiri ambalo alikuwa amenipatia mwanzo kisha akalichovya kwenye ule mchaganyiko na kunitaka nivae.
Sasa baada ya kuvaa lile bangiri nikasikia limenibana mkono mithiri ya mtu kama kafungwa na waya mikononi,cha ajabu nikaanza kuona damu zinatiririka mkononi,damu zilipoanza kutitirika mkononi akachukua kile chombo kilichokuwa kama chungu akawa anazikinga matone yale yaliyokuwa yakidondoka.
Mzee "Unahisi maumivu?"
Mimi "Hapana"
Mzee "Ukihisi maumivu niambie"
Ile damu iliendelea kutoka kwa mfululizo pasipo kukoma ndipo nikaanza kuhisi maumivu mkononi nikamwambia yule mzee!.Baada tu ya kumwambia nahisi maumivu,alinishika akaanza kuongea maneno yaleyale kisha ile bangiri ikalegea na damu zikakoma kutoka.Alichukua kile chombo kilichokuwa kama chungu akakisogeza pembeni kisha akaniambia mimi na Ally tukae chini.
Mzee "Alfwat amekubali toba ya ndugu yako"
Aliendelea "Hakikisha hii hali haijirudii tena na nitamfungamanisha na Alfwat kama ulivyonieleza na atamsaidia kama anavyokusaidia wewe"
Basi baada ya maelezo hayo mafupi,alichukua ile bangiri ikiyokuwa imechovya kwenye damu pamoja na mchanganyiko wa dawa kisha akanitaka niivae.
Mzee "Hakikisha hii hauivui mkononi na kama ukipata tatizo inapaswa Ally Mpemba akulete kwangu!"
Mzee "Alfwat amekupenda na nilimueleza hilo suala ndugu yako hapa,unachopaswa kufanya ni kumtunza"
Aliendelea "Kwa ulichokifanya kama asingekuwa amekupenda kitendo cha kumvaa mkononi angekumaliza"
Aliendelea "Jambo la kwanza,inapaswa umvae huyu Alfwat na popote uendapo hakikisha unakuwa nae usimuache na kama nilivyokwambia kukiwa na tatizo utamwambia huyu bwana akulete,usithubutu kukanyaga huku ukiwa mwenyewe"
Mzee "Jambo la pili,hakikisha kila itakapokuwa inafika ijumaa ya mwisho wa mwezi,utachukua wembe na utajichanja chini ya mkono huu wa kushoto ambao ambao unavaa hii bangiri,baada ya kuchanja Alfwat atakuja na utamlisha,akishiba atakuacha na ndipo mambo yako yatashamiri "
Mimi "Nikioga nayo haina tatizo?"
Mzee "Hiyo haina tatizo wala usijali kuhusu kuoga na usije ukajaribu kuivua!"
Mimi " Sawa na nitajuaje Alfwat ameshiba?"
Mzee " Ukiona bangiri inakubana na ukahisi maumivu utashika bangiri na utaipaka mchanganyiko wa damu yako hii ambayo nimekuwekea kwenye kikopo kisha Alfwat atakuachia"
Mimi "Sawa nimekuelewa"
Baada ya maelezo hayo ya kina alituambia tunyanyuke na tukusanye kila kitu na kuondoka kurejea kwake,baada ya kufika kwake hatukukaa sana na tuliondoka kuelekea Unguja ambapo tulifikia kwa bwana mmoja aliyekuwa na asili ya kipemba na nilitambulishwa na Ally kama ndugu yake,tulilala pale kisha kesho yake tukaondoka kurejea Dar es salaam.
Muda huo nilikuwa nimevaa ile bangiri mkononi na kisha Ally Mpemba akawa ameweka vitu kadhaa ambavyo tulitoka navyo kwa huyo mzee aliyemfahamu yeye.
Baada ya kufika Dar es salaam nilielekea nyumbani nikaachana na Ally Mpemba pale bandarini,baada ya kufika nyumbani nilichukua kile kichupa kidogo nikakitunza ndani.Niliendelea kupambana kibishi na ile kazi yangu ya usajili wa line huku mkononi nikiwa nimevaa bangiri kama urembo kumbe haikuwa hivyo!.
Sasa ilipofika ijumaa ya mwisho wa mwezi Ally Mpemba alinitaka niende nyumbani kwake.
Itaendelea............
Mimi nusu episode miezi 7Ningekuwa mimi ningekuwa naleta ka episodi kamoja baada ya miezi 6, sipangiwi
AyeeeUtajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 16.
Ukiachilia mbali kile kivuko cha Kigongo - Busisi pamoja na kupanda ile mitumbwi ya shemeji yangu(masamaki) kule kisiwani Ijinga sikuwahi kabisa kupanda Boti ya kisasa,hiyo ndiyo ilikuwa mara yangu ya Kwanza kupanda ile boti nzuri naya kisasa.
Sababu za mimi na Ally Mpemba kwenda Chumbe zilikuwa mbili,moja;Ni kwamba baada ya mimi kumshuhudia yule kiumbe wa ajabu mle ndani,Ally Mpemba kuna miiko aliivunja kutokana na maelekezo ya mtaalamu wake,hivyo tulienda ili akaone namna ya kurekebisha kabla mambo hayajaharibika,pili; ilikuwa ni mimi kuzitaka mali baada ya ushawishi wa Ally Mpemba,sasa ilifika hatua na mimi nikashawishika na kuona ile kazi yangu ya usajili wa line ilikuwa ikinipotezea muda tu.
Baada ya kufika Unguja hatukutaka kupoteza muda,Ally Mpemba aliniongoza hadj kwa huyo mtaalamu aliyekuwa akimfahamu hapo Chumbe,mawazo yangu nilidhani uenda huyo jamaa angekuwa na makolo kolo kama ambavyo nilizoea kuwaona wataalamu wengi wa mikoani namna wanavyokuwa,ila yeye alikuwa kawaida tu!.Baada ya kufika kwa huyo mtu hatukumkuta na tulimkuta mwanamke aliyekuwa amevaa hijab akamwambia Ally Mpemba kwamba ameenda kuswali na tulichofanya tuliamua kumsubiri pale kwake.
Aliporejea kutoka kuswali alitukuta tukiwa tumekaa kwenye mkeka tukimsubiri,baada ya kumuona Ally Mpemba walisalimiana na mimi pia nikamsalimu.Alimuita Ally Mpemba akamwambia aingie ndani,baada ya mazungumzo ya takribani nusu saa,Ally Mpemba alirudi nje akiwa amebeba Vitu ambavyo sikuvielewa na akanitaka tuongozane nae.Nilimfuata nyuma Ally Mpemba hadi tukaifikia miti pori iliyokuwa kando ya Bahari.Nyuma yetu pia alikuwa akija yule mzee aliyekuwa amevaa kanzu huku mkononi akiwa amebeba Mkeka na vitu vingine,baada ya kufika eneo ambalo yeye aliona ndipo panafaa,alituambia tuvue nguo.
Mzee "Vua nguo zenu"
Mimi na Ally Mpemba tulivua nguo tukabaki kama tulilivyozaliwa,baada ya hapo alinikabidhi kichupa kidogo ambacho kilikuwa cha Gliselin,sasa kile kichupa ndani yake hakukuwa na Gliselin bali kilikuwa na kitu kama damu,baada ya kukipokea akanikabidhi na bangiri la chuma(Hili huwa wanapenda kulivaa watu mbalimbali mikononi).Sasa baada ya kukabidhiwa hivyo vitu alitutaka tukae chini kwenye ule mkeka,alitoa kopo kama chetezo kisha akaweka vitu kama tumbaku iliyokauka,baada ya kuona imeenea kwenye kile chombo akatoa kiberiti akawasha,baada ya kuwasha akaanza kuongea kwa kiarabu huku akiwa anatikisa mgongo kwa kwenda mbele na kurudi nyuma.Baada ya kuwasha kile chombo kulikuwa na harufu nzuri sana kama udi lakini yenyewe ilikuwa nzuri zaidi ya udi.
Alipomaliza kusoma kisomo aliniambia nisimame.
Mzee "Waiyona ile bahari?"
Mimi "Ndiyo naiona"
Mzee "Weye nenda pale,ukifika pale chukua hicho kikopo mwaga Baharini ukimaliza chota maji na hicho kikopo uyalete hapa"
Kweli niliondoka zangu kushuka baharini huku nikiwa mtupu kama nilivyozaliwa,yale maeneo hakukuwa na watu kabisa na kulikuwa na miti ambayo isingekuwa rahisi watu kuona mnafanya kitu gani,sikufahamu kama mara zote Ally Mpemba alikuwa akija Unguja analetwa hilo eneo au siku hiyo tulipelekwa tu kwa kazi maalumu.
Nilipofika lile eneo la wazi la bahari nilifanya kama mzee alivyoniambia kisha nikageuza kurudi,nilipofika nilikuta Ally Mpemba akiwa amelazwa kwenye ule mkeka akiwa anapakwa mafuta ambayo sikuyafahamu mgongoni hadi miguuni,sasa alipomaliza ile shughuli kwa Ally Mpemba akaniambia nikae chini kwenye ule mkeka.
Mzee "Sogea kaa hapa"
Baada ya kukaa kwenye ule mkeka akachukua kale kakopo ka Gliselin nilikokuwa nimeweka maji ya bahari akamimina yale maji kwenye chombo kidogo cha udongo kilichokuwa kama chungu lakini kilikuwa kidogo kisha akaanza kuchanganya kwa ndani na mikono,baada ya kumaliza akaanza visomo kwa lugha ya kiarabu,sikuelewa alichokuwa anamaanisha ni kitu gani,sasa baada ya kumaliza akachukua lile bangiri ambalo alikuwa amenipatia mwanzo kisha akalichovya kwenye ule mchaganyiko na kunitaka nivae.
Sasa baada ya kuvaa lile bangiri nikasikia limenibana mkono mithiri ya mtu kama kafungwa na waya mikononi,cha ajabu nikaanza kuona damu zinatiririka mkononi,damu zilipoanza kutitirika mkononi akachukua kile chombo kilichokuwa kama chungu akawa anazikinga matone yale yaliyokuwa yakidondoka.
Mzee "Unahisi maumivu?"
Mimi "Hapana"
Mzee "Ukihisi maumivu niambie"
Ile damu iliendelea kutoka kwa mfululizo pasipo kukoma ndipo nikaanza kuhisi maumivu mkononi nikamwambia yule mzee!.Baada tu ya kumwambia nahisi maumivu,alinishika akaanza kuongea maneno yaleyale kisha ile bangiri ikalegea na damu zikakoma kutoka.Alichukua kile chombo kilichokuwa kama chungu akakisogeza pembeni kisha akaniambia mimi na Ally tukae chini.
Mzee "Alfwat amekubali toba ya ndugu yako"
Aliendelea "Hakikisha hii hali haijirudii tena na nitamfungamanisha na Alfwat kama ulivyonieleza na atamsaidia kama anavyokusaidia wewe"
Basi baada ya maelezo hayo mafupi,alichukua ile bangiri ikiyokuwa imechovya kwenye damu pamoja na mchanganyiko wa dawa kisha akanitaka niivae.
Mzee "Hakikisha hii hauivui mkononi na kama ukipata tatizo inapaswa Ally Mpemba akulete kwangu!"
Mzee "Alfwat amekupenda na nilimueleza hilo suala ndugu yako hapa,unachopaswa kufanya ni kumtunza"
Aliendelea "Kwa ulichokifanya kama asingekuwa amekupenda kitendo cha kumvaa mkononi angekumaliza"
Aliendelea "Jambo la kwanza,inapaswa umvae huyu Alfwat na popote uendapo hakikisha unakuwa nae usimuache na kama nilivyokwambia kukiwa na tatizo utamwambia huyu bwana akulete,usithubutu kukanyaga huku ukiwa mwenyewe"
Mzee "Jambo la pili,hakikisha kila itakapokuwa inafika ijumaa ya mwisho wa mwezi,utachukua wembe na utajichanja chini ya mkono huu wa kushoto ambao ambao unavaa hii bangiri,baada ya kuchanja Alfwat atakuja na utamlisha,akishiba atakuacha na ndipo mambo yako yatashamiri "
Mimi "Nikioga nayo haina tatizo?"
Mzee "Hiyo haina tatizo wala usijali kuhusu kuoga na usije ukajaribu kuivua!"
Mimi " Sawa na nitajuaje Alfwat ameshiba?"
Mzee " Ukiona bangiri inakubana na ukahisi maumivu utashika bangiri na utaipaka mchanganyiko wa damu yako hii ambayo nimekuwekea kwenye kikopo kisha Alfwat atakuachia"
Mimi "Sawa nimekuelewa"
Baada ya maelezo hayo ya kina alituambia tunyanyuke na tukusanye kila kitu na kuondoka kurejea kwake,baada ya kufika kwake hatukukaa sana na tuliondoka kuelekea Unguja ambapo tulifikia kwa bwana mmoja aliyekuwa na asili ya kipemba na nilitambulishwa na Ally kama ndugu yake,tulilala pale kisha kesho yake tukaondoka kurejea Dar es salaam.
Muda huo nilikuwa nimevaa ile bangiri mkononi na kisha Ally Mpemba akawa ameweka vitu kadhaa ambavyo tulitoka navyo kwa huyo mzee aliyemfahamu yeye.
Baada ya kufika Dar es salaam nilielekea nyumbani nikaachana na Ally Mpemba pale bandarini,baada ya kufika nyumbani nilichukua kile kichupa kidogo nikakitunza ndani.Niliendelea kupambana kibishi na ile kazi yangu ya usajili wa line huku mkononi nikiwa nimevaa bangiri kama urembo kumbe haikuwa hivyo!.
Sasa ilipofika ijumaa ya mwisho wa mwezi Ally Mpemba alinitaka niende nyumbani kwake.
Itaendelea............
Daaah mwana mbn kama uko serious sana?Hili likurya lijinga sana halina akili hata kidogo litakuja kufa kifo cha kijinga sana,baba yake aliona mbali sana kulitimua nyumbani lingemuharibia watoto wake na hizo akili zake za kuuza pesa feki & kupiga debe sirari.Bangi zimeliharibu sana ubongo na humo kwenye uboda boda litakachotoamo ni ulemavu wa mwili maana akili tayari halina
Acha ngenga kaka,pambana na single maza wakoNakuusia kijana mkakati wa kuchafua wapemba utakuletea shida. Maana naona hili unalichukulia poa. Wewe Kiarabu unakifahamu? Ulijuaje kuwa aliongea kiarabu? Hizi ni fitna na propaganda chafu sana.
Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 07.
Kwakuwa Mwakisaka ndiye aliyekuwa mwenyeji wangu sikuwa na hofu kabisa kwasababu ni mtu ambaye tulifanya nae kazi kwa muda mfupi na alikiwa mtu mwema,baada ya kufika kivukoni(feri)tulikata tiketi za kivuko na tukawa tumefanikiwa kuvuka ng'ambo ya pili,baada ya kufika upande wa pili yaani Kigambo,jamaa aliniambia inapaswa tupande gari zilizokuwa zinaelekea Kibada kwa kuwa ndiyo njia yenyewe hiyo.
Tulifanikiwa kufika hapo kwenye mradi mkubwa kabisa uliofahamika kama DEGE ECO VILLAGE,kiukweli nilikuwa nashangaa sana namna ambavyo watu wanatumia fedha,ule mradi ndugu zangu ulikuwa mkubwa mno,na kwa waliobahatika kufika huko au wanaotokea huko watakubaliana nami.
Hatukutaka kupoteza muda kabisa ilibidi Mwakisaka aniambie tuulizie namna ya kupata kibarua kwasababu tulikuta watu wakiwa wanachakalika kinoma.Kuna jamaa tulimfuata tukaanza kumuulizia namna ya kupata kibarua siku hiyo.
Jamaa "Hapa kwetu yupo foreman ambaye ndiye msimamizi wetu,ukienda kule mbele pia wanae foreman wao"
Mwakisaka "Foreman wenu yuko wapi tujaribu kuongea nae?"
Jamaa "Nadhani atakuwa anazungukia maeneo anayosimamia,subirini tu hapa atakuja"
Tulisogea kando tukawa tunaendelea kuushangaa ule mradi wakati huo tunamsubiri mtu tuliyeambiwa ndiye foreman wa hapo tulipofikia.Baada ya muda wa nusu saa jamaa mmoja mweusi aliyekuwa mnene na kitambi cha kutosha akawa amekuja na ndipo yule jamaa alitukonyeza ya kwamba jamaa ndiye foreman wa lile eneo.Tulimfuata na kumjulia hali jamaa kisha Mwakisaka akaanzisha maongezi nae.
Mwakisaka "Kaka tunatafuta kazi ya kibarua "
Foreman "Aliyewaambia hapa tunaajili vibarua nani?"
Mwakisaka "Hakuna mtu aliyetuambia kaka tumekuja kuona kama tutapata"
Foreman "Hapa hatuajiri kwa sasa,siku tukiajiri vibarua mtapata taarifa"
Baada ya yale majibu ya kukatisha tamaa Mwakisaka aliamua akae kimya kisha jamaa akaanza kuondoka kuzunguka nyuma ya yale majengo yaliyokuwa mbele yetu.Sasa yule jamaa aliyekuwa kibarua pale akawa amemuita Mwakisaka akamwambia bila pesa ni ngumu sana kupata kibarua kwasababu hata wao walihonga ndipo kupata kibarua,jamaa akasema twende tukaongee nae kikubwa.Nilimwambia Mwakisaka hiyo kazi ya kuongea na jamaa aniachie mimi,akikataa basi tungerudi zetu kwa Mushi kule kivule kuendelea na ufyatuaji wa tofali.
Niliamua kuzunguka ule upande alokuwa amekwenda yule foreman na bahati nzuri nilimuona akiwa anaingia kwenye jengo moja,nilitembea kwa haraka ili kumuwahi kabla hajafika kwa watu wengi ikawa shida kuzungumza nae.
Mimi "Kaka kakaa"
Foreman "mmmh nambie"
Mimi "Kaka tusaidie ndugu yangu na kama ni chochote tutakupatia"
Foreman "Wewe si ndo upo na yule mwenzio nimewaambia hamna kazi!"
Mimi "Kaka tusaidie ndugu yangu!"
Foreman "Nyie mnatokea wapi?"
Mimi "Wote tunatokea kivule"
Foreman "Kivule?,sasa kivule hadi kuja kufanya kazi huku hamuoni tutasumbuana?"
Aliendelea "Ni bora hata mngekuwa hapa maeneo ya jirani"
Mimi "Tutaweka kambi maeneo haya kaka wala hilo lisikupe taabu"
Foreman "Hapa jirani haturuhusu watu kukaa kwasababu za kiusalama"
Mimi "Sijamaanisha hapa kwenye mradi kaka,tuta tafuta eneo maeneo ya jirani tutaweka kambi"
Foreman "Tukubaliane,mtanipa elfu tano tano kila siku kwa muda wa wiki moja"
Aliendelea "Na iwe siri,ikiwa vinginevyo mi nitawaruka na kuwageuka"
Mimi "Hakuna tazizo kaka"
Foreman "Kamuite mwenzio mje niwakabidhi huku juu!"
Niliondoka kumfuata Mwakisaka na kumueleza kila kitu jamaa alichosema na jamaa akaniambia hakuna tatizo;Tuliondoka kumfuata yule foreman ambaye alituchukua mpaka kwa jamaa wengine akamuacha hapo Mwakisaka kisha akaniambia tena nifuatane nae,mimi pia akawa amenipeleka kwenye kikosi kingine.
Tukaanza kuifanya kazi ya kibarua rasmi na kwa siku tukawa tunapewa elfu 15,ishu ya kula pamoja na maji ya kunywa ilikuwa ni juu ya yako wewe kibarua uzuri ni kwamba,kwenye kundi ambalo mimi nilikuwepo walikuwa wamejitolea kuchanga fedha na kununua vyakula kisha kuna mtu walikuwa wanamlipa anakuja kuwapikia,hivyo na mimi baada ya kuingia kwenye kundi la wale jamaa niliamua kuchangia elfu 10 kwa kila wiki kwa ajili ya huo mpango.
Miongoni mwa wale jamaa pia walikuwa wametengeneza matenti ya maturubai kuishi hapo maeneo ya jirani,niliamua kichangia fedha na mimi ili kukaa hapo,sasa bahati nzuri ni kwamba wikiendi tulikuwaga tunapumzika na hiyo niliitumia kwenda kufata virago vyangu kwa kaka Kileri na kurudi kambini,sikutaka kabisa kuhangaika na mambo ya jiji la Dar es salaam,fokasi yangu ilikuwa ni kwenye kufanya kazi na kutunza malipo yangu kwenye simu.
Nilipopambana ndani ya miezi mitano kwenye ule mradi nilipata kiasi kisichopungua Tsh milioni 1.3,sasa nilimuomba Mwakisaka aniambie ni eneo gani ni zuri kwa kupanga chumba na angalau linakuwa na maisha nafuu kwa hapa Dar es salaam.
Mwakisaka "Mwanangu mimi nakaa Gongo la mboto na nikuzuri sana"
Mimi "Kwahiyo kipindi kile ulikuwa unatoka Gongo la Mboto mpaka Kwa Mushi?"
Mwakisaka " Nilikuwa nakaa kulekule kivule kwa ndugu yangu mmoja"
Aliendelea "Kama unataka chumba we sema nimpigie simu jamaa mmoja pale kitaa akutafutie chumba"
Mimi "Nahitaji kaka"
Mwakisaka "Basi ngoja nitamcheki mshikaji"
Kweli,baada ya Mwakisaka kuwasiliana na jamaa yake na kumjulisha nilikuwa nahitaji chumba jamaa alianza kutafuta na akasema endapo angepata basi angetujulisha.
Baada ya siku tatu yule jamaa aliyepewa kazi na Mwakisaka ya kutafuta chumba akawa amesema nyumba imepatikana maeneo ya mwisho wa lami lakini ni vyumba viwili ambavyo malipo ilikuwa ni elfu 45 kwa kila chumba na ilipaswa kulipwa kwa miezi 6.
Mwakisaka "Jamaa anasema nyumba imepatikana Gongo la mboto mwisho wa lami"
Mimi "Mwisho wa lami ni maeneo ya wapi?"
Mwakisaka "Hapo hapo Gongo la mboto sema ni mbele kidogo"
Mimi "Sawa,na wewe ndiyo unaishi huko?"
Mwakisaka "Hapana,mimi naishi Mzambarauni"
Mwakisaka "Ila jamaa anasema amepata chumba na sebule kwa elfu 45 kwa kila kimoja na inalipwa miezi 6,vp?"
Mimi "Sawa,hakuna tazizo"
Mwakisaka "Ngoja nimwambie amwambie mwenye nyumba atulie kesho kutwa tukakicheki"
Mwakisaka aliwasiliana na yule jamaa akawa amemwambia amwambie mwenye nyumba jumapili tungeenda kukitazama ikiwezekana nilipie kabisa.
Namshukuru Mungu baada ya kwenda kuingalia ile nyumba niliipenda na nikawa nimelipia miezi sita,hela iliyobaki nikanunua godoro na mashuka nikawa nimeyaweka na mimi kufunga chumba kisha kurudi Kigamboni kuendelea na kibarua.
Kila nilipokuwa ninapata hela nilikuwa nikinunua kitu kimoja baada ya kingine na kuweka ndani na hatimaye vyumba vikawa na muonekano mzuri,kiukweli pamoja na mateso ya kushinda juani niliyokuwa nayapitia kule kigamboni lakini nilihakikisha najinyima kiasi kwamba hadi malengo yangu yatimie.
Ule mradi wa Dege kuna muda ukawa umesimama kidogo hivyo kwa muda ule nikaenda kukaa kwangu nilikokuwa nimepanga,sasa pale nilipokuwa naishi kulikuwa na geti na tulikuwa wapangaji kadhaa na kila mtu alikuwa na ishu zake.
Sasa kuna jamaa mmoja alikuwa akiitwa Steve yeye tulitokea kushibana sana na tukawa marafiki,jamaa alikuwa akifanya kazi kampuni ya Tigo kama msajili line za simu,kwakuwa ule mradi ulikuwa umesimama kwa muda usiojulikana,jamaa aliniambia kama vipi aniunganishe na timu leader wake anipatie kodi ya kusajili line za simu nami nianze kuwa msajili laini.Jamaa aliniambia ni kazi ambayo ilikuwa na pesa sana ila watu walikuwa wakiichukulia poa.
Steve "Ngoja kesho nitamueleza team leader kama vipi akupe kodi ili uanze kufanya kazi"
Mimi "Kazi inafanyikaje kaka"
Steve "Kazi ni nyepesi sana kaka utaelekezwa namna ya kuifanya"
Kwakuwa kwa muda huo sikuwa na kazi baada ya kusimama kwa mradi,niliona jamaa atakuwa amenisaidia sana ili kuweza kujinasua na ukata ambao ulikuwa ukininyemelea baada kuwa nakula hela nilizokuwa nimezitunza bila kuzizalisha.
Itaendelea.........
Muendelezo Soma Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani
TumogheleAisee watu wa Mbeya Mgonile?
kumbe mko serious hivi na maisha!.
Jana nimepita mahali nikakuta watu wamekusanyika kibao nikadhani labda wanaangalia mpira kumbe wako serious wakitazama Taarifa ya habari[emoji23][emoji23].
Hongereni sana kwa uaminifu wenu wa kufatilia mambo muhimu yanayoendelea Tanzania na duniani,kiukweli nimeshangaa sana kwasababu mkusanyiko ule kwa pale Dar es salaam utakuta kwenye mambo ya mpira tu na huwezi kuona eti watu wamekusanyika kijamaa wanaangalia taarifa ya habari!
Mmenikosha sana watu wa Mbeya!
[emoji23][emoji23][emoji23]
kuwa na akili kipaji, Mshukuru aliye juu Kama kakujaria. Leo sio kesho nakukumbusha tu.Hili likurya lijinga sana halina akili hata kidogo litakuja kufa kifo cha kijinga sana,baba yake aliona mbali sana kulitimua nyumbani lingemuharibia watoto wake na hizo akili zake za kuuza pesa feki & kupiga debe sirari.Bangi zimeliharibu sana ubongo na humo kwenye uboda boda litakachotoamo ni ulemavu wa mwili maana akili tayari halina
Hekima hii ni kubwa sana sijui kama ataelewa hiki ulichomshauri.kuwa na akili kipaji, Mshukuru aliye juu Kama kakujaria. Leo sio kesho nakukumbusha tu.