Utajisikiaje, Mchungaji wako au mwanasheria wako, akimuoa au akiolewa na Mtalaka wako?

Utajisikiaje, Mchungaji wako au mwanasheria wako, akimuoa au akiolewa na Mtalaka wako?

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
3,799
Reaction score
10,196
Screenshot_20240824-212827.jpg
 
Umenikumbusha huku niliko.

Jamaa Mmoja mwenye wake wawili, akawankila Mara analumbana na Mke Mdogo.

Ugumvi ukafika Kwa sheikh.

Sheikh akawa anamchochea jamaa, muachee ,muacheee ,muachee hatimaye jamaa akatoa Talaka tatu.


Haikupita miezi miwili, Sheikh akamuoa huyo Mwanamke .

Na sheikh bado anaswalisha, ila kama amekataa katakakata kuswali tena.
 
Back
Top Bottom