Victor Jeremiah
Member
- Oct 17, 2011
- 80
- 16
Uko ktk relationship na mtu(a lady),anasema anakupenda sana,pia anakuchukulia kama mume wake mtarajiwa
Lakini;anaweza kukaa wiki nzima bila kukujulia hali licha ya wewe kumjulia,anaweza kupiga simu au sms kwa watu wengine lakini mzito kukuandikia wewe,wakati mwingine ukimuuliza unaendeleaje,no reply,anaweza kuwatembelea watu mbalimbali,lakini kukutembelea wewe ni kwa msimu,ukimuuliza anakwambia yuko bize,time will come where we will be together forever.jiweke wewe ktk position hiyo,mtazamo wako ungekuwaje kuhusu uhusiano huu
Uko ktk relationship na mtu(a lady),anasema anakupenda sana,pia anakuchukulia kama mume wake mtarajiwa
Lakini;anaweza kukaa wiki nzima bila kukujulia hali licha ya wewe kumjulia,anaweza kupiga simu au sms kwa watu wengine lakini mzito kukuandikia wewe,wakati mwingine ukimuuliza unaendeleaje,no reply,anaweza kuwatembelea watu mbalimbali,lakini kukutembelea wewe ni kwa msimu,ukimuuliza anakwambia yuko bize,time will come where we will be together forever.jiweke wewe ktk position hiyo,mtazamo wako ungekuwaje kuhusu uhusiano huu