Utajiskiaje siku ukiskia dawa za kuongeza nguvu za kiume zimepigwa marufuku na hazipatikani kabisa?

Utajiskiaje siku ukiskia dawa za kuongeza nguvu za kiume zimepigwa marufuku na hazipatikani kabisa?

Kwani zipo?dawa ya nguvu za kiume unayo wewe mwenyewe jinsi unavyoi-tune mind yako...mnadanganywa na sijui tope la Kongo hakuna lolote na kuna siku huyo mnyama atashindwa hata kustuka kwa sababu mnaisugua sana misuli ya uume.
 
La maana fuata ushauri wa dactari kuhusu hiyo dose kama inaruhusiwa poa. Wenye matatizo wafanyeje? Kumbuka mwanaume, unaona neno ume?? Mwanaume ni pale!!!
 
unamaanisha za viwandani? huku umasaini watu wanatafuna mizizi tu tangu utotoni na shoo zinapigwa za kibabe
 
Labda watu wa mji ule wa Dady watalia sana.

Lakini sisi huku hatuna shida na hizo dawa.
 
Back
Top Bottom