Utajuaje kama Airpods zako ni bandia na halisi?

Utajuaje kama Airpods zako ni bandia na halisi?

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
620
Reaction score
1,240
1_20241204_183956_0000.png


Wengi tumekua tukilalamika kuhusu Vifaa tunavyotumia vingi ni feki 😁, Tena ile feki pro max yani iliyopitiliza, Sasa utajuaje hii Airpods ni feki au original ? Makala hii ni yako 👋
2_20241204_183956_0001.png



Ukiangalia kwenye hii picha😃 sio rahisi kujua ipi ni feki na ipi original sio 👇

3_20241204_183956_0002.png


Utofauti wa Airpods halisi (original) dhidi ya feki ni kwenye;
⚙️ muundo Kwani halisi Zina muunganiko usio na mshono kabisa, inatoa sauti Bora kwa hali ya juu, ikiwa na Serial namba ambazo ukiweka kwenye tovuti ya apple , Samsung au kampuni zingine zinatambulika.

5_20241204_183956_0004.png


4_20241204_183956_0003.png


⚙️ Feki sasa, huwa na ubora wa chini sana kuanzia muunganiko wake hauna mshono kamili, sauti zake ziko chini mdundo usio na ubora, pia hauna apple feature yani uwezo wa kupata update au kuunganisha na mifumo mingine autom
atic.

6_20241204_183956_0005.png


7_20241204_183956_0006.png
 

Attachments

  • Screenshot_20241204-184248_Instagram.jpg
    Screenshot_20241204-184248_Instagram.jpg
    291.3 KB · Views: 6
Kuna bwege mmoja wale wa mtandaoni alipigiwa simu akasema anazo mali kweli tsh ngapi unauza 350k sawa njoo nazo sisi tuko hapa kwa mwingira jeshini.........akasema sawa .........kuja nazo tukafungua mimi ndio nilikuwa tester wa mziki ......babu ile fake haina mdundo wala sijui kupiga nikamwambia babu hii ni junjwa akasema hapana labda kama umeona na kusikia tofauti ...............akapewa 3000 ya bolt tukamwambia jichenge ............kuna mwana ana duka lake pale jirani na dar tech maisha supermarket..........akasema utalipa 500k mzigo kaka mzigo ulikuja original ile ya marekani kabisa................yaani zile dubwasha zipo mpaka leo huu kama mwaka wa 3 sasa .........yule mwamba maua yake .........zinapiga ile balaaa..........
 
Kuna bwege mmoja wale wa mtandaoni alipigiwa simu akasema anazo mali kweli tsh ngapi unauza 350k sawa njoo nazo sisi tuko hapa kwa mwingira jeshini.........akasema sawa .........kuja nazo tukafungua mimi ndio nilikuwa tester wa mziki ......babu ile fake haina mdundo wala sijui kupiga nikamwambia babu hii ni junjwa akasema hapana labda kama umeona na kusikia tofauti ...............akapewa 3000 ya bolt tukamwambia jichenge ............kuna mwana ana duka lake pale jirani na dar tech maisha supermarket..........akasema utalipa 500k mzigo kaka mzigo ulikuja original ile ya marekani kabisa................yaani zile dubwasha zipo mpaka leo huu kama mwaka wa 3 sasa .........yule mwamba maua yake .........zinapiga ile balaaa..........
Nawe unamention vitu ambavyo havipo, mwandishi nae ni muongo, originality ya earphone haipimwi kama hivi.

Mchina anakupa unachotaka kulingana na pesa Yako, so huwezi sema earbud Haina bass basi ni feki, unakuwa muongo, j
 
View attachment 3168993

Wengi tumekua tukilalamika kuhusu Vifaa tunavyotumia vingi ni feki 😁, Tena ile feki pro max yani iliyopitiliza, Sasa utajuaje hii Airpods ni feki au original ? Makala hii ni yako 👋
View attachment 3168991


Ukiangalia kwenye hii picha😃 sio rahisi kujua ipi ni feki na ipi original sio 👇

View attachment 3168994

Utofauti wa Airpods halisi (original) dhidi ya feki ni kwenye;
⚙️ muundo Kwani halisi Zina muunganiko usio na mshono kabisa, inatoa sauti Bora kwa hali ya juu, ikiwa na Serial namba ambazo ukiweka kwenye tovuti ya apple , Samsung au kampuni zingine zinatambulika.

View attachment 3168995

View attachment 3168998

⚙️ Feki sasa, huwa na ubora wa chini sana kuanzia muunganiko wake hauna mshono kamili, sauti zake ziko chini mdundo usio na ubora, pia hauna apple feature yani uwezo wa kupata update au kuunganisha na mifumo mingine autom
atic.

View attachment 3168996

View attachment 3168997
Sawa
 
Back
Top Bottom