Mr.genius
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 1,374
- 1,201
Habari zenu wakuu, jamani kuuliza si ujinga naomba kuuliza hivi utakitambuaje kama chuo unachosoma au unachotaka kusoma kama kimesajiliwa na NACTE na certificate yake utayopata toka hapo haitakusumbua ukitaka kuapply kwenda ngazi nyingine ya elimu au kuomba kazi?
Mana kimsingi kuna chuo cha private kiko mbeya nimepata nataka kwenda kusoma diploma ya kilimo kinaitwa Ilemi polytechnical college katika kufanya kwangu uchunguzi kukihusu nimegundua kua hiki chuo kilishawahi kufungiwa na serikali kisa hakitambuliki.
Kwa upande wa kozi hiyo ya kilimo wanayoitoa sasa wandugu nina wasi wasi huenda tatizo bado hawajali solve ingawa ukiwauliza wahusika wanasema tayari washarekebisha sasa isije ikawa mwamba ngoma anavutia kwake hivyo msaada wakuu please kabla sijafanya maamuzi ya kwenda au lah!!
Mana kimsingi kuna chuo cha private kiko mbeya nimepata nataka kwenda kusoma diploma ya kilimo kinaitwa Ilemi polytechnical college katika kufanya kwangu uchunguzi kukihusu nimegundua kua hiki chuo kilishawahi kufungiwa na serikali kisa hakitambuliki.
Kwa upande wa kozi hiyo ya kilimo wanayoitoa sasa wandugu nina wasi wasi huenda tatizo bado hawajali solve ingawa ukiwauliza wahusika wanasema tayari washarekebisha sasa isije ikawa mwamba ngoma anavutia kwake hivyo msaada wakuu please kabla sijafanya maamuzi ya kwenda au lah!!