Utajuaje kama ni mwari - Untouched

Kwa sisi tulio kijijini, huwa tunategea akienda haja ndogo shambani,basi unaangalia kama kutatokea tobo ardhini.
Kama ardhi iko flat tu, ujue hapo hamna kitu.
 

Tunapo zungumzia Bikra tunaelewa kuwa siku hizi ndani ya kizazi kipya hususan hapa bongo kuna tafsiri mbili za Bikra ??sasa hao watalamu wanaotowa ufafanuzi wanaweza kutueleza pale inapohitajika kujuwa kama msichana yupo Bikra kwa kumuangalia na kutwambia ni ipi moja kati ya hizo mbili ,ambayo haijafikiwa na misukosuko?kwani mtu asije jidanganya karne hii kuikuta hiyo ya original bado ipo untouched sio tatizo ,tatizo lipo kwa hii ya pili ,swali hapa ni jee haina umuhimu kuielewa? asije mtu akafikwa na butwaa.
 
Mbona sielewi unachomaanisha hapa mkulu?

Nilichomekea tu,ila kwa undani nilimaanisha mtoto anaeolewa kwa mara ya kwanza huonekana amejiheshimu na kujitunza kutokana na maparazi pia wazee wake wanaonekana kuwa walimtunza mtoto wao iwapo atakuwa hajaguswa.

Ila huyo hapo juu ya kuvizia akojoe akaangalie kama kuna kishimo ni mpya kabisa sijawahi kuisikia ,ama kweli elimu ni bahari kubwa.
 
Kwa sisi tulio kijijini, huwa tunategea akienda haja ndogo shambani,basi unaangalia kama kutatokea tobo ardhini.
Kama ardhi iko flat tu, ujue hapo hamna kitu.
Du! Hii kali, sikuwahi kuufahamu utalaamu huu. Asante sana Bush Doctor kwi kwi kwi kwi
 
Kwa sisi tulio kijijini, huwa tunategea akienda haja ndogo shambani,basi unaangalia kama kutatokea tobo ardhini.
Kama ardhi iko flat tu, ujue hapo hamna kitu.

Hivi ubikira upo kwenye urethra? Mie nilidhani ni kule kwingine🙂?
 
Hivi ubikira upo kwenye urethra? Mie nilidhani ni kule kwingine🙂?

...dah, ha ha ha....wanasayansi hamjambo kwa vijimambo! 🙂
 

Spear hapa sijakuelewa. Ya pili ipi? Au ile 'kampuni ya simu'?
 
Hii 'obsession' ya wanaume wenzangu ya kupata 'bikra' inatoka wapi? ni kutokujiamini au ni unafiki wa aina flani,mi nadhani hatuna haki ya kutaka 'bikra',wangapi hapa wanaume bikra? halafu nikijiongelea mwenyewe kama mfano niliwatia vidole wasichana kadhaa primari labda kuwasababishia kuondoa 'bikra' zao,ngono kuanzia hausigeli nilipokua na miaka 16,majirani(wasichana na kinamama),magirlfriend kadhaa(nimewaondolea 3 bikra).Sidhani kabisa nitakuwa najitendea haki au huyo naetaka kumuoa kama 'bikra' ikiwa moja ya vigezo na dhamira yangu itanisuta.
 
Duh! uporoto01 ulianza na finger shule ya msingi? we kiboko,afu housegirl at 16 Hahaha!
 

Inaonyesha hata hujui maana ya bikra ,dogo mwanamme hana bikra jaribu kuulizia kwa watu wenye elimu ili kwanza ufahamu hiyo bikra inayozungumzwa ni ipi na ni kitu gani ,tusiwe tunaburuzana mengine tunayaelewa japo kiduchu.
Sasa kama wewe ulikuwa na bikra yako na jamaa wakaindowa sijui tukueleweje aidha utakuwa una sehemu zote mbili ya kike na ya kiume ,ni mtihani kweli !! itabidi uonane na wasomi ili ujulikane upo upande gani unaangaliwa ni sehemu ipi inanguvu zaidi na kufanya kazi inavyotakiwa ili ujijuwe,sasa kama wewe bikira jamaa waliiondoa ,bora niishie hapa maana naona maelezo yanaelekea siko.
 
Sasa kama wewe ulikuwa na bikra yako na jamaa wakaindowa sijui tukueleweje aidha utakuwa una sehemu zote mbili ya kike na ya kiume..

Mwiba si umalizie tu? ana sehemu zote mbili au aligawa makalio!
 

Mwanamme 'bikra' meaning ambaye hajashiriki tendo la ndoa,hayo mengine ni matusi wala sitayajibu.
 
Mwanamme 'bikra' meaning ambaye hajashiriki tendo la ndoa,hayo mengine ni matusi wala sitayajibu.

Naona unakwenda mbali sana ,hapa hatukwani mtu ndugu na kama utaona nimekutukana basi nakutaka samahani saana sana,ni kurahisisha maelezo ili yafahamike , am very sorry about that.

Hali niliyoigusia ipo ,kunatokea watu wanakuwa na sheemu zote mbili na wengine wanashindwa kujijua wapo upande gani .

Kusema mwanamme ambae hajashiriki tendo la ndoa ni bikra hilo sikubaliani nalo ,maana hiyo sio sifa ya Mwanamme. Mwanamme hawezi kuwa na bikra na hawezi kuondolewa kwani hicho kitu cha kuondolewa hakipo katika mwili wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…