Yule mfalme III wa Swaziland akitaka kuoa na kuongeza mke huwa anachagua bikra na kuna jinsi ya kuwapima/kuwacheki hao mabinti kama ni bikra ili mfalme aopoe kigori na kukifanyia uzinduzi mwenyewe.
Siku hizi siyo kama miaka ya nyuma, ukiwa na bikra mpaka unaolewa unaonekana mashalaah mtoto kajitunza huyu. Ila kwa sasa ni nadra kukuta brand new ila wachache sana wapo, je unataka kutest uone jinsi ilivyo kumtoa bikra?Sisi wanawake hatusahau,utasikia flani alikuwa first love wangu tena amenibikiri!..
Mbona sielewi unachomaanisha hapa mkulu?
Sisi wanawake hatusahau,utasikia flani alikuwa first love wangu tena amenibikiri!..
Du! Hii kali, sikuwahi kuufahamu utalaamu huu. Asante sana Bush Doctor kwi kwi kwi kwiKwa sisi tulio kijijini, huwa tunategea akienda haja ndogo shambani,basi unaangalia kama kutatokea tobo ardhini.
Kama ardhi iko flat tu, ujue hapo hamna kitu.
Kwa sisi tulio kijijini, huwa tunategea akienda haja ndogo shambani,basi unaangalia kama kutatokea tobo ardhini.
Kama ardhi iko flat tu, ujue hapo hamna kitu.
Hivi ubikira upo kwenye urethra? Mie nilidhani ni kule kwingine🙂?
Tunapo zungumzia Bikra tunaelewa kuwa siku hizi ndani ya kizazi kipya hususan hapa bongo kuna tafsiri mbili za Bikra ??sasa hao watalamu wanaotowa ufafanuzi wanaweza kutueleza pale inapohitajika kujuwa kama msichana yupo Bikra kwa kumuangalia na kutwambia ni ipi moja kati ya hizo mbili ,ambayo haijafikiwa na misukosuko?kwani mtu asije jidanganya karne hii kuikuta hiyo ya original bado ipo untouched sio tatizo ,tatizo lipo kwa hii ya pili ,swali hapa ni jee haina umuhimu kuielewa? asije mtu akafikwa na butwaa.
Spear hapa sijakuelewa. Ya pili ipi? Au ile 'kampuni ya simu'?
Hii 'obsession' ya wanaume wenzangu ya kupata 'bikra' inatoka wapi? ni kutokujiamini au ni unafiki wa aina flani,mi nadhani hatuna haki ya kutaka 'bikra',wangapi hapa wanaume bikra? halafu nikijiongelea mwenyewe kama mfano niliwatia vidole wasichana kadhaa primari labda kuwasababishia kuondoa 'bikra' zao,ngono kuanzia hausigeli nilipokua na miaka 16,majirani(wasichana na kinamama),magirlfriend kadhaa(nimewaondolea 3 bikra).Sidhani kabisa nitakuwa najitendea haki au huyo naetaka kumuoa kama 'bikra' ikiwa moja ya vigezo na dhamira yangu itanisuta.
Sasa kama wewe ulikuwa na bikra yako na jamaa wakaindowa sijui tukueleweje aidha utakuwa una sehemu zote mbili ya kike na ya kiume..
Inaonyesha hata hujui maana ya bikra ,dogo mwanamme hana bikra jaribu kuulizia kwa watu wenye elimu ili kwanza ufahamu hiyo bikra inayozungumzwa ni ipi na ni kitu gani ,tusiwe tunaburuzana mengine tunayaelewa japo kiduchu.
Sasa kama wewe ulikuwa na bikra yako na jamaa wakaindowa sijui tukueleweje aidha utakuwa una sehemu zote mbili ya kike na ya kiume ,ni mtihani kweli !! itabidi uonane na wasomi ili ujulikane upo upande gani unaangaliwa ni sehemu ipi inanguvu zaidi na kufanya kazi inavyotakiwa ili ujijuwe,sasa kama wewe bikira jamaa waliiondoa ,bora niishie hapa maana naona maelezo yanaelekea siko.
Mwanamme 'bikra' meaning ambaye hajashiriki tendo la ndoa,hayo mengine ni matusi wala sitayajibu.