Utajuaje kama upo eligible or not

Kadabrah

Member
Joined
Nov 8, 2013
Posts
54
Reaction score
7
Katika sehemu ya met min requirement wameandika check in progress nimepaclick pale then nkasubiri after 6 hrs still pako vilevile. je inatumia mda gani kuonyesha YES or NO
 
watangaza wala usiwaze ila kama una point magumashi afu then umeapply vyuo vyenye competition kubwa jiandae kuapply tena
 
Eligibility itatangazwa kwenye vyombo vya habari?

Mimi nilichomuelewa mleta mada ni kuwa itachukua muda gani kwa yeye kuona zile YES au NO

Mleta mada..kama una uhakika una vigezo vyote vya kozi zote ulizochagua,ondoa mtero kabisa baada ya muda zote zitakuwa YES..Tatizo ni kama umechagua ambapo ushindani ni mkubwa na wewe matokeo yako ni ya kawaida,machaguo ya mwisho au hata second round inaweza kukuhusu
 

Mkuu @ze herby hiyo second round inaweza ikawa after tarehe31 au?
 
Kuandikiwa yes siyo ishu ni kuwa selected na chuo alichochagua,anaweza akaandikiwa YEs na asipate nafasi,
itakuja second round ambayo huwa wanatangaza,
unakua na option moja tu,
chuo na course atakayochagua ndo atakayopata.
Nayo kama itakua haijajaa.
 


Mleta mada anataka kujua eligibility na sio selection,na ndivyo nilivyomjibu

Najua kabisa kuwa eligible ni kitu kimoja na kuchaguliwa ni kitu kingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…