Utajuaje kama upo JF?

Utajuaje kama upo JF?

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Ili ujue kwasasa upo JF basi lazima ukutane na mambo haya;
° Kila member ana maisha mazuri

° Members wote wana degree na kuendelea

° Wengi wetu tunafanya kazi ofisi nyeti serikalini

° Hakuna anayetumia tecno, wote tunatumia Samsung, Iphone nk

Endeleza na wewe sifa za wana JF
 
Ili ujue kwasasa upo JF basi lazima ukutane na mambo haya;
° Kila member ana maisha mazuri

° Members wote wana degree na kuendelea

° Wengi wetu tunafanya kazi ofisi nyeti serikalini

° Hakuna anayetumia tecno, wote tunatumia Samsung, Iphone nk

Endeleza na wewe sifa za wana JF
Kila member anawajua usalama wa taifa
 
  1. 75% ya watumiaji wa JF maisha yao ni mboga 100.
  2. wajanja wote hutembelea jukwaa la intellijensi
  3. ili uwe mjanja zaidi lazima ujisifie ulikuwa ni kipanga elimu yako ya sekondari.
 
usihangaike na maisha ya watu ndugu yangu utajisumbua buree...

cha msingi we ingia humu chukua ya muhimu sepa...

Pia usisahau JF Ni mtandao wa kijamii kama ilivyo mitandao mingine tu so NO WONDERS !!!!
 
mbona mm sins yote hayo Na ninadunda Jf bila tabu!
Sifatiliiagi ya MTU hats kama n member ke kapigwa mtungo Na me wote
 
kama ni Member mpya utaskia habari za Jukwaa la Wakubwa, utalitafuta bila mafanikio
 
Back
Top Bottom