Jitu jeusi
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 1,715
- 2,385
UTAJUAJE KAMA WEWE NI MUHENGA?
1. Kama ulikata daftari mara mbili. Kipande kimoja ukaacha nyumbani na kingine ukaenda nacho shule. Wewe ni muhenga.
2. Kama ulitumia kipande cha kandambili kama ufutio.
3. Kama ulikanyagia kisigino ulipotoka kuoga ili usichafuke kwa kuwa hauna kandambili....Wewe ni muhenga.
4. Kama kwenu mlianika betri za national ili ziongezeke chaji kwenu..... Wewe ni muhenga.
5.Kama ulilala na sare za shule ili asubuhi usichelewe halafu asubuhi ukajikuta umejikojolea Wewe ni muhenga.
6. Kama ulienda choo porini na ukajipangusa kwa nyasi hongera aisee.....We ni muhenga
7. Kama uliweka chumvi kwenye uji mweupe ndio ukanywa....Wewe ni muhenga
8. Kama ulilamba sukari ukapangusa mikono na ukasahau mdomo....sema kichapo heheeee..Wewe ni muhenga
9.Kama uliogea karai la chuma Wewe ni muhenga
10.Kama uliambiwa ushike sikio la kulia kwa kupitisha mkono wa kushoto juu ya kichwa ndio uende darasa la kwanza.....Wewe ni muhenga
11.Kama ulipaka mafuta yanaitwa RAYS ya bluu au YOLANDA....Wewe ni muhenga
12.Kama sare yako ya shule ilikuwa na viraka vingi hadi watu wasitambue rangi ya sare ya shule yenu.....Wewe ni muhenga
13.Kama ulivalishwa nepi na sio papmpers.....Wewe ni muhenga
14.Kama ulikunywa maji kwa kata na ukaogea sabuni ya REXONA. Wewe ni muhenga
15.Kama wewe ni mwanamke na Uliwahi kuvaa viatu vya LOSO Wewe ni muhenga.
16. Kama ulipenya njaa ya mwaka 1984 na bado unaijua facebook Wewe ni muhenga.
17.Kama ulipakwa Gv au mafuta ya breki ya AGIP kwenye kidonda.....Wewe ni muhenga
18.Kama ulienda shule peku huku umebeba kuni na maji ya kuwapikia walimu..Wewe ni muhenga
19.Kama ulivaa kandambili mikononi wakati mnacheza mpira wa makaratasi "one touch".....Wewe ni muhenga
20.Kama uliweka kioo chini ya dawati ili uwachungulie wasichana...Wewe ni muhenga
21.Kama mpiga picha alishakuambia picha yako imeungua basi wewe pia ni muhenga
22.Kama wewe ni msichana na uliwahi kuvaa NYANYAPUZO Wewe ni muhenga
23.Kama uliwahi kutengeneza magari ya waya,mabox na makopo yalioisha KIMBO Wewe ni muhenga
24.Kama uliwahi kucheza ule mchezo wa kifimbo cheza Wewe ni muhenga
25.Kama ulitumia GUNZI kuchambia au kujisugua makalio chini Wewe ni muhenga
26.Kama ulienda shule na sukari kwenye kipande cha gazeti kwa ajiri ya kuweka kwenye bulga Wewe ni muhenga
27.Kama uliwahi kuvaa ndala za SKY WAY ,NODIN,UMOJA na viatu vya bora Wewe ni muhenga
28.Kama uliwahi kukojoa dirishani kisa unaogopa kutka nje Wewe ni muhenga
29.Kama uliwahi kuogea sabuni ya komoa,komesha,mshindi,ilula Wewe ni muhenga
30.Kama uliwahi kutumia TANBOND,KIMBO,,,,Wewe ni muhenga
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
1. Kama ulikata daftari mara mbili. Kipande kimoja ukaacha nyumbani na kingine ukaenda nacho shule. Wewe ni muhenga.
2. Kama ulitumia kipande cha kandambili kama ufutio.
3. Kama ulikanyagia kisigino ulipotoka kuoga ili usichafuke kwa kuwa hauna kandambili....Wewe ni muhenga.
4. Kama kwenu mlianika betri za national ili ziongezeke chaji kwenu..... Wewe ni muhenga.
5.Kama ulilala na sare za shule ili asubuhi usichelewe halafu asubuhi ukajikuta umejikojolea Wewe ni muhenga.
6. Kama ulienda choo porini na ukajipangusa kwa nyasi hongera aisee.....We ni muhenga
7. Kama uliweka chumvi kwenye uji mweupe ndio ukanywa....Wewe ni muhenga
8. Kama ulilamba sukari ukapangusa mikono na ukasahau mdomo....sema kichapo heheeee..Wewe ni muhenga
9.Kama uliogea karai la chuma Wewe ni muhenga
10.Kama uliambiwa ushike sikio la kulia kwa kupitisha mkono wa kushoto juu ya kichwa ndio uende darasa la kwanza.....Wewe ni muhenga
11.Kama ulipaka mafuta yanaitwa RAYS ya bluu au YOLANDA....Wewe ni muhenga
12.Kama sare yako ya shule ilikuwa na viraka vingi hadi watu wasitambue rangi ya sare ya shule yenu.....Wewe ni muhenga
13.Kama ulivalishwa nepi na sio papmpers.....Wewe ni muhenga
14.Kama ulikunywa maji kwa kata na ukaogea sabuni ya REXONA. Wewe ni muhenga
15.Kama wewe ni mwanamke na Uliwahi kuvaa viatu vya LOSO Wewe ni muhenga.
16. Kama ulipenya njaa ya mwaka 1984 na bado unaijua facebook Wewe ni muhenga.
17.Kama ulipakwa Gv au mafuta ya breki ya AGIP kwenye kidonda.....Wewe ni muhenga
18.Kama ulienda shule peku huku umebeba kuni na maji ya kuwapikia walimu..Wewe ni muhenga
19.Kama ulivaa kandambili mikononi wakati mnacheza mpira wa makaratasi "one touch".....Wewe ni muhenga
20.Kama uliweka kioo chini ya dawati ili uwachungulie wasichana...Wewe ni muhenga
21.Kama mpiga picha alishakuambia picha yako imeungua basi wewe pia ni muhenga
22.Kama wewe ni msichana na uliwahi kuvaa NYANYAPUZO Wewe ni muhenga
23.Kama uliwahi kutengeneza magari ya waya,mabox na makopo yalioisha KIMBO Wewe ni muhenga
24.Kama uliwahi kucheza ule mchezo wa kifimbo cheza Wewe ni muhenga
25.Kama ulitumia GUNZI kuchambia au kujisugua makalio chini Wewe ni muhenga
26.Kama ulienda shule na sukari kwenye kipande cha gazeti kwa ajiri ya kuweka kwenye bulga Wewe ni muhenga
27.Kama uliwahi kuvaa ndala za SKY WAY ,NODIN,UMOJA na viatu vya bora Wewe ni muhenga
28.Kama uliwahi kukojoa dirishani kisa unaogopa kutka nje Wewe ni muhenga
29.Kama uliwahi kuogea sabuni ya komoa,komesha,mshindi,ilula Wewe ni muhenga
30.Kama uliwahi kutumia TANBOND,KIMBO,,,,Wewe ni muhenga
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]