Utajuajekama amecheat!!

duh, hii mada noma!, lakini mbona wachangiaji mnaenda nje ya mada jamani?? arrrrgggh.
 
hivi mtu akikucheat unaumiza kichwa?.............
NA WEWE SI UNA,CHEAT TU,au?
 
yaani Chrispin nilijua tu mahudhurio yako kwenye hii mada yatakuwa mazuri
 
Hakuna njia yoyote ya kutambua kama ame-do au haja-do, kiukweli endapo wanadamu tungekuwa wahalisia na kushikilia imani zetu basi hakuna ambae ange-cheat kwny mahusiano yake, kilichopo ni kwamaba wanadamu tumejisahau sana na hatimae tunaishi maisha km wanyama, tumekuwa tukiendeshwa na hisia na si utashi wetu binafsi!
 
hahahahahahah!dada ako huwa hacheat bana.hata ufanyeje ataishia kusema NIKUKUNDA SAAANAA!

Hahaha! Tatizo we ndio una mcheat! Hahaha! Natania binamu, sisi huwa hatucheat, tunafanya mechi za majaribio. Hahahaha!
 
Kwani wanyama huwa wanacheat?
 
some pipo bwana, kama unaona thread imekuzidi uwezo unaweza chambua nyingine, sioni la ajabu lililoongelewa humu, na kama unajiona mtoto unaingia humu kutafuta nini? nenda majukwaa ya elimu kule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…