Utakiona cha mtema kuni!, Kama ni hadithi , ilikuwa kwenye kitabu gani? Mtunzi alikuwa nani...na mengineyo....

Aliona nini
 
Huyo apo sasa Mtema Kuni mwenyewe.
 
Mtema kuni alikuwa anakaa magomenj kabla hajaahamia mapipa na mara ya mwisho alionekana anaelekea idodomya kwa baiskeli yake ya swala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…