Nakumbuka kipindi hiko shule ya upili nafikiri tukiwa njuka kuna mwamba alijibu methali hii..
"Usiache mbachao"...yeye akajibu "Siachi mbachao"..
Darasa zima tulijikojolea kwa kucheka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na yule Athumani anayeambiwa "Mungu sio Athumani alifanyaje?
Tapeli Yule, hatimizi ahadi zakeNa yule Athumani anayeambiwa "Mungu sio Athumani alifanyaje?
Tapeli Yule, hatimizi ahadi zake
Aliona niniMtema kuni si mtu mzuri kwani hakuwa na bahati. Alipenda sana kukata miti hovyo. Siku moja alipokuwa akitembea kando ya mto, akaona mti mzuri sana. Kama kawaida hakuwa akiacha shoka. Akapanda juu ya mti ili aanze kukata matawi taratibu. Alipokuwa juu ya mti ghafla akaona joka kubwa likikenua ulimi, hajakaa sawa akaona nyuki wakiwa kwenye mzinga. Wakati anawaza kushuka, Hamadi! Akaona chini kuna simba amelala anamsubiri[emoji23][emoji4] akataka arukee mtoni, akakutana na mamba amefungua mdomo tayari kwa kitoweo. Sema alichokiona ndio kilibaki historia hadi leo
Jr[emoji769]
Mtema kuni ni watu wasiojulikanaHuyu mtema kuni si ndio huyohuyo baba Ndubwi?
Aliona nini
Mkuu umenikumbusha kitabu cha ziraili na zirani.....ziraili maana yake niniZiraili wa kifo
Jr[emoji769]
Alimega mke wa Rais enzi za ADMtema Kuni,
Huyu Mtema Kuni ni nani hasa?
Na alifanya kitu gani hadi leo hii tutishiwe kukiona?
Mtema Kuni,
Huyu Mtema Kuni ni nani hasa?
Na alifanya kitu gani hadi leo hii tutishiwe kukiona?