Mzanaki
Member
- Feb 25, 2011
- 20
- 11
.......na pia wamo "Watanganyika na Watanganzibar!.
Mimi shida yangu ni utitiri wa maraisi kwenye hii rasimu ya katiba!...Tunahitaji raisi wa shirikisho halafu hao wengine wawe mawaziri wakuu!..Waziri mkuu wa Tanzania bara na Waziri mkuu wa Zanzibar. Hawa ndio wawe watendaji wakuu katika hizi inji mbili. Maraisi watatu hawa kwanza watusababishia foleni bure!.
Mimi shida yangu ni utitiri wa maraisi kwenye hii rasimu ya katiba!...Tunahitaji raisi wa shirikisho halafu hao wengine wawe mawaziri wakuu!..Waziri mkuu wa Tanzania bara na Waziri mkuu wa Zanzibar. Hawa ndio wawe watendaji wakuu katika hizi inji mbili. Maraisi watatu hawa kwanza watusababishia foleni bure!.