Samahani kwa usumbufu ndugu zangu naomba kupata ushauri kwa hili jambo
Naomba kupata namna ya kupata wahusika au kama Kuna mtu alishenda kutalii bagamoyo maeneo yote au baadhi anipe utaratibu wa jinsi ya kwenda ndugu zangu
Asante
Samahani kwa usumbufu ndugu zangu naomba kupata ushauri kwa hili jambo
Naomba kupata namna ya kupata wahusika au kama Kuna mtu alishenda kutalii bagamoyo maeneo yote au baadhi anipe utaratibu wa jinsi ya kwenda ndugu zangu
Asante