Bahati nzuri niko katika eneo ambalo naona kwa mapana sana flow ya watalii kuja na kuondoka. Mada uliyoanzisha ni sensitive , na inasikitisha sana kwa tulio wengi!...Utalii kwetu waswahili ni ndoto!...Hata watu wanaoishi jirani kabisa na Mbuga bado kabisa hawajawahi kupata msukumo wa kutembelea huko...Labda tuseme kiasili hatuna hobby hiyo, maana ingekuwa ni uchumi, mbona kuna rates za kibongo za kuingilia mbugani ambazo ni as low as 1.5K!..Lakini pia TANAPA HUWA WANATOA OFFER, AMBAPO mwitikio pia huwa chini sana!...Ni masikitiko!
Bahati nzuri niko katika eneo ambalo naona kwa mapana sana flow ya watalii kuja na kuondoka. Mada uliyoanzisha ni sensitive , na inasikitisha sana kwa tulio wengi!...Utalii kwetu waswahili ni ndoto!...Hata watu wanaoishi jirani kabisa na Mbuga bado kabisa hawajawahi kupata msukumo wa kutembelea huko...Labda tuseme kiasili hatuna hobby hiyo, maana ingekuwa ni uchumi, mbona kuna rates za kibongo za kuingilia mbugani ambazo ni as low as 1.5K!..Lakini pia TANAPA HUWA WANATOA OFFER, AMBAPO mwitikio pia huwa chini sana!...Ni masikitiko!
PENYE MITI HAPANA WAJENZI.. WENGI WETU HATUNAUTAMADUNI WA KUJITUNZIA HELA KWA UTALII(MBGA SI ZIPO TU?!)!! ILA NI WATZ WANGAPI WANATUNZA HELA WAPATE NAULI ZA KUTIMKIA UGHAIBUNI?! :confused2: