๐—จ๐˜๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—ฝ๐—ถ๐—ฎ ๐——๐—ผ๐—น๐—ฎ $๐Ÿฎ๐Ÿฎ๐Ÿฌ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ฎ๐—ท๐—ถ๐—น๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฆ๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—บ๐—ฝ๐˜†๐—ฎ ๐—ง๐—ผ๐—ธ๐—ฎ ๐—ง๐—ฒ๐—ฐ๐—ป๐—ผ ๐—–๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐—ป ๐Ÿฐ๐Ÿฌ ๐—ฃ๐—ฟ๐—ผ

๐—จ๐˜๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—ฝ๐—ถ๐—ฎ ๐——๐—ผ๐—น๐—ฎ $๐Ÿฎ๐Ÿฎ๐Ÿฌ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ฎ๐—ท๐—ถ๐—น๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฆ๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐—บ๐—ฝ๐˜†๐—ฎ ๐—ง๐—ผ๐—ธ๐—ฎ ๐—ง๐—ฒ๐—ฐ๐—ป๐—ผ ๐—–๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐—ป ๐Ÿฐ๐Ÿฌ ๐—ฃ๐—ฟ๐—ผ

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
620
Reaction score
1,240
Utalipia Dola $220 kwa ajili ya Simu mpya Toka Tecno Camon 40 Pro

1_20250314_181321_0000.png


Kwenye events ya MWC 2025 kampuni ya Tecno iliweza kuonyesha matoleo mbalimbali ya Simu zao mpya lakini kilichonivutia zaidi ni hii Tecno Camon 40 Pro !!!!

Leo nakueleza kwa ufupi kuhusu specs na Teknolojia yake ya AI Sio mchezo!!

โšกMediatek Helio G100 Ultimate(6nm)
๐Ÿ•ฏ๏ธ6.78 inch AMOLED 120Hz Screen
๐Ÿ“ธ 50MP SONY Camera + FlashSnap for instant photography

images (1) (10).jpeg


๐Ÿ—‚๏ธ Storage: 256GB ROM + 8GB RAM (Extendable RAM)
๐Ÿ—‘๏ธ IP68/69 water and dust resistance
โš™๏ธ 5200mah battery (1800 charge cycle)
๐Ÿ’ 45W Charging + Android 15 (HIOS 15)

images (1) (9).jpeg


Ukitumia hii simu Ina Akili bandia inaitwa Ella Ina Fanya kazi nyingi sana Akili bandia hii ikiwemo kukusaidia automatiki sehemu zenye kelele kukuondolea wakati unazungumza na simu na kukufanya kuwa comfortable kutumia simu mahali popote.

images (1) (8).jpeg


Sio hivyo TU inakupa uwezo wa kuondoa kitu chochote usichokipenda kwenye Picha au video yako na kuifanya kuwa Best AI kwa mwaka 2025, bila kusahau msaada kwenye ku summarize, editi, na tools images kupitia Akili bandia ya Ella.

images (1) (7).jpeg


Kwenye Kamera sasa ni balaa inapiga picha mazingira yoyote Yale iwe ndani ya maji , nchi kavu, usiku au mchana inatoa picha zilizo na ubora wa hali ya juu bila kumuathiri mpigaji na mpigwa picha.

Sio hapo TU unaweza tumia simu hii kurekodi video mpaka ya lisaa limoja ukiwa chini ya maji ikiwa na IP68 kama wewe ni diver, content creator usijali kuhusu mvua inafanya kazi popote na mazingira yoyote kwenye m
vua na vumbi kali.
 
Maisha yanaenda Kasi sana wakati nanunua hii Tecno yangu nilijua nimepata
Sasa mambo ni tofauti
 
Utalipia Dola $220 kwa ajili ya Simu mpya Toka Tecno Camon 40 Pro

View attachment 3270337

Kwenye events ya MWC 2025 kampuni ya Tecno iliweza kuonyesha matoleo mbalimbali ya Simu zao mpya lakini kilichonivutia zaidi ni hii Tecno Camon 40 Pro !!!!

Leo nakueleza kwa ufupi kuhusu specs na Teknolojia yake ya AI Sio mchezo!!

โšกMediatek Helio G100 Ultimate(6nm)
๐Ÿ•ฏ๏ธ6.78 inch AMOLED 120Hz Screen
๐Ÿ“ธ 50MP SONY Camera + FlashSnap for instant photography

View attachment 3270339

๐Ÿ—‚๏ธ Storage: 256GB ROM + 8GB RAM (Extendable RAM)
๐Ÿ—‘๏ธ IP68/69 water and dust resistance
โš™๏ธ 5200mah battery (1800 charge cycle)
๐Ÿ’ 45W Charging + Android 15 (HIOS 15)

View attachment 3270340

Ukitumia hii simu Ina Akili bandia inaitwa Ella Ina Fanya kazi nyingi sana Akili bandia hii ikiwemo kukusaidia automatiki sehemu zenye kelele kukuondolea wakati unazungumza na simu na kukufanya kuwa comfortable kutumia simu mahali popote.

View attachment 3270341

Sio hivyo TU inakupa uwezo wa kuondoa kitu chochote usichokipenda kwenye Picha au video yako na kuifanya kuwa Best AI kwa mwaka 2025, bila kusahau msaada kwenye ku summarize, editi, na tools images kupitia Akili bandia ya Ella.

View attachment 3270342

Kwenye Kamera sasa ni balaa inapiga picha mazingira yoyote Yale iwe ndani ya maji , nchi kavu, usiku au mchana inatoa picha zilizo na ubora wa hali ya juu bila kumuathiri mpigaji na mpigwa picha.

Sio hapo TU unaweza tumia simu hii kurekodi video mpaka ya lisaa limoja ukiwa chini ya maji ikiwa na IP68 kama wewe ni diver, content creator usijali kuhusu mvua inafanya kazi popote na mazingira yoyote kwenye m
vua na vumbi kali.
Sawa tshs ngapi?
 
Pamoja na hayo yote lakini bado ni TECNO!
Yani sifa zooote inazo lakini aaah, TECNO?? ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Inaonekana nzuri. Kama wameboresha suala la hii brand kustuck, kuheat n.k kama review zinavyoonyesha kwa bajeti ya laki tano inapendeza.

Binafsi baada ya blackberry kupotea sokoni, mpaka sasa option huwa ni Samsung.
 
Pamoja na hayo yote lakini bado ni TECNO!
Yani sifa zooote inazo lakini aaah, TECNO?? ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Mkuu, ikishakuwa na sifa zote kuwa TECNO tatizo linakuwa ni nini iwapo inakupa mahitaji yako yote kwa gharama unayoweza kulipia?
 
Mkuu, ikishakuwa na sifa zote kuwa TECNO tatizo linakuwa ni nini iwapo inakupa mahitaji yako yote kwa gharama unayoweza kulipia?
Ni namna tu brand hiyo inavyochukuliwa na wengi hapa nilipo japo sijasema ni simu mbaya!
Rejea utani wa hayati Mwl. Nyerere kwa watu wa kabila la wakara...
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom