Nawasalimu ndugu zangu, nimekuwa kama msomaji wa hili jukwaa kwa miaka kumi Sasa, na Leo nikaona Bora niwe mwanachama, namimi walau kwa uchache wa uelewa wangu nitoe mchango wangu.
Mwanafalsafa mmoja aliwahi kusema “we become adapted to the lack of use of our basic human resources as a results responding by becoming unfamiliar to us”. Huu msemo ni sawa na kusema Ile Law of use and disuse of some organ.
Basic human resources ni nyingi na kwa bahati mbaya vijana wenyewe wa kitanzania tulio wengi hatuzijui hivyo kama hatuzijui hatuwezi kuzitumia na Zina disappear. Wengi tumekuwa tukikimbilia kusingizia kila jambo kuwa mtaji ndio tatizo, lakini kwangu Mimi unaweza kuanza na zero ukawa hero.
Tupo mitandaoni muda wote kulaumu Serikali wakati Serikali ni sisi na inatoka na sisi, ni watu wanaongoza hiyo serikali sio wanyama, sisi tukiwa wabovu unategemea vipi serikali iwe na maadili? Itakuwa ni ajabu.
Lead yourself before you lead others. Lakini kama unashindwa kujiongoza mwenyewe huwezi ongoza familia yako, na hali kadhalika huwezi ongoza inchi. When people complain opportunity comes.
Mwanafalsafa mmoja aliwahi kusema “we become adapted to the lack of use of our basic human resources as a results responding by becoming unfamiliar to us”. Huu msemo ni sawa na kusema Ile Law of use and disuse of some organ.
Basic human resources ni nyingi na kwa bahati mbaya vijana wenyewe wa kitanzania tulio wengi hatuzijui hivyo kama hatuzijui hatuwezi kuzitumia na Zina disappear. Wengi tumekuwa tukikimbilia kusingizia kila jambo kuwa mtaji ndio tatizo, lakini kwangu Mimi unaweza kuanza na zero ukawa hero.
Tupo mitandaoni muda wote kulaumu Serikali wakati Serikali ni sisi na inatoka na sisi, ni watu wanaongoza hiyo serikali sio wanyama, sisi tukiwa wabovu unategemea vipi serikali iwe na maadili? Itakuwa ni ajabu.
Lead yourself before you lead others. Lakini kama unashindwa kujiongoza mwenyewe huwezi ongoza familia yako, na hali kadhalika huwezi ongoza inchi. When people complain opportunity comes.