Utambulisho kwa wana JF

Karibu sana mzee..Je unapigania tume huru ya uchaguzi au janja janja FC wazee wa bao la mkono.
Karibu utufunze pia tusioyajua
 
babu vua hiyo miwani upate kutambulika sura na scanner za JF

na usipende kuazima mawani,kuna Corona ni hatari

una vitukuu/vilembwe wangapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante Kushukuru! Tuliza Ball Angalia Mahali Pa Kuelekeza Pasi JF isonge mbele. kuwa mtulivu epuka kukurupuka. let's go
 
Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT upate kufaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…