Natumaini nyote ni wazima na mnaendelea vema na kazi za ujenzi wa Tanzania. Mimi naitwa S. H. Mnozya, nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu contributions, ideas, analysis and comments za JF. Kimsingi zimekuwa zikinipa changamoto na ninawapongeza kwa kazi nzuri.
Hata hivyo nia na lengo ni kujenga, ili kujenga hatuna budi kujitazama visogoni na kama mmoja wetu hajachana nywele vizuri basi tusisite kumwambie achane. Naamini kuwa ili JF izidi kujijengea heshma na kuthibitisha pasina shaka kuwa ni jamii ya watu mahiri katika kufikiri hatuna budi kuongeza ufanisi katika uchambuzi wa kisayansi.
Nahitimisha kwa kurudia kuwapongeza wanajamii forum wote kwa kazi nzuri.
Hata hivyo nia na lengo ni kujenga, ili kujenga hatuna budi kujitazama visogoni na kama mmoja wetu hajachana nywele vizuri basi tusisite kumwambie achane. Naamini kuwa ili JF izidi kujijengea heshma na kuthibitisha pasina shaka kuwa ni jamii ya watu mahiri katika kufikiri hatuna budi kuongeza ufanisi katika uchambuzi wa kisayansi.
Nahitimisha kwa kurudia kuwapongeza wanajamii forum wote kwa kazi nzuri.