Mambo wana jf leo ndo my 1st time umu so naomba mnipokee
Ila pia nna tatzo naombeni ushaur mie ni msichana mdogo nnaejitegemea nna mpenz wangu ambae nampenda sana ila sasa tatzo linakuja kwamba hanijali hata kdogo yani hamna yale malove dav ktka kwake hata kdogo hayo yte nmeyavumilia ila sasa nna ujauzto wa mwez mmoja na wiki 2 nimemwambia kaniambia nictoe coz uwezo wa kulea anao ila sasa kumpata kwenyewe kumekua kwa manati na me apa ndo kamimba kananipelekesha balaa smetymz huwa nawaza kuachana nae ila now uwezo wa kujsupport na iki ki2mbo cna,wazo la mwsho lililonijia ni kutoa mimba ili nkatafute kaz niendelee na maisha yangu lakini roho inaniuma apa balaa kila nikikiwaza kijusi changu yaani nmekua m2 wa kulia 2 nahc ka dunia yte nimeibeba mgongoni ushaur jamani
Ila pia nna tatzo naombeni ushaur mie ni msichana mdogo nnaejitegemea nna mpenz wangu ambae nampenda sana ila sasa tatzo linakuja kwamba hanijali hata kdogo yani hamna yale malove dav ktka kwake hata kdogo hayo yte nmeyavumilia ila sasa nna ujauzto wa mwez mmoja na wiki 2 nimemwambia kaniambia nictoe coz uwezo wa kulea anao ila sasa kumpata kwenyewe kumekua kwa manati na me apa ndo kamimba kananipelekesha balaa smetymz huwa nawaza kuachana nae ila now uwezo wa kujsupport na iki ki2mbo cna,wazo la mwsho lililonijia ni kutoa mimba ili nkatafute kaz niendelee na maisha yangu lakini roho inaniuma apa balaa kila nikikiwaza kijusi changu yaani nmekua m2 wa kulia 2 nahc ka dunia yte nimeibeba mgongoni ushaur jamani