Miss lb4lyf
Member
- Sep 3, 2022
- 30
- 19
Shukrani,ni post thread kweny jukwaa la biashara kuleKaribu. Kama unaswali lolote usisite kunicheki PM nikuelekeze
Eifanyi maonyesho ya picha jiheshimuKaribu sana embu nitumie picha yako pm rafiki
Utakosa fursa Sawa ngoja nitarudEifanyi maonyesho ya picha jiheshimu
Ata sijahitaji fursa brooo,tafuta mwingine akutunie picha umpe fursa,Utakosa fursa Sawa ngoja nitarud
Sawa rafiki jisikie huru juc jokes tuπ€π€Ata sijahitaji fursa brooo,tafuta mwingine akutunie picha umpe fursa,
Wewe siyo muhitimu wa Mzumbe...Ata sijahitaji fursa brooo,tafuta mwingine akutunie picha umpe fursa,
Mzumbe ndio wanaandika hivi?Naitwa marry g,muhitimu from Mzumbe University
Huyu ni msomi haswaKaribu, huku wasomi wana nafasi yao
Mmeanza sasa watu wa jf ππππππWewe siyo muhitimu wa Mzumbe...
Sababu ni kwamba hujui hata kuandika.
Mwambieni kuna wazee wanataka kufundishwa tuisheniHuyu ni msomi haswa
Kozi gani...Naitwa marry g,muhitimu from Mzumbe University