Utambulisho

Ata ww ukitaka muweke mwaya
Sipasuki ubongo kw such things my dear haaa never afu kumbe unaumia na tozo aya bhana kumbe mpenda slope broo ndomana nilitaka shangaa mwanaume gani talkative ivi ohoo kumbe pole na tozoo
 
Naona umeamua kumtoa kwenye avatar🤣🤣..

Usiwe serious sana, hapa tuna chitchat tuu...

Ukiwa serious sana plus hizi tozo utapasuka ubongo bureee...
Nitamuweka na kumtoa nitawaweka na kuwatoa kila nitakapo jiskia bhana we pamnana na tozo kwanza uko
 
Muhitimu wa Mzumbe naona ushakutana na Wasomi wenzio mnatunishiana misuli
 
Hahahahaaa JF ukiwa serious sana utaumia. Behind keyboard unakuwa serious kiasi hiki kweli......siku ukija ijua na kuizoea JF utajutia hata muda wa mabishano haya
 
Hahahahaaa JF ukiwa serious sana utaumia. Behind keyboard unakuwa serious kiasi hiki kweli......siku ukija ijua na kuizoea JF utajutia hata muda wa mabishano haya
Ata nabishana basi wala, kumjibu mtu so mabishano ila ni kila mtu na anavochukulia then nashukuru kwa kwa ur opinion dear
 
Muhitimu wa Mzumbe naona ushakutana na Wasomi wenzio mnatunishiana misuli
Mzumbe ya nyokoo🤣🤣

Huyu slay queen wa mwananyamala kabisa...

Nimemtega kajaa mzima mzima🤣

Hakuna Mzumbe alumni anaweza muweka bf kwenyee avatar ya jf🙃
 
Mzumbe ya nyokoo🤣🤣

Huyu slay queen wa mwananyamala kabisa...

Nimemtega kajaa mzima mzima🤣

Hakuna Mzumbe alumni anaweza muweka bf kwenyee avatar ya jf🙃
Hahaha unateseka aiseeeeeee jamani kumbe na bf wangu unamjua? Umenbatizia na sehemu nnayoishi ungejua dar ata sijawah kufika mshamba flani ivi napaskiaga tuuu dar hahah nimecheka mno aya kaka sio ata muhitimu mimi ka dada ka kazi kijijini kwetu uku ata fom 4 siijui tozoo izi ahaa zina meng'e nya ubongo asee
 
Karibu sana JamiiForums...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…