Mchizzy moonyView attachment 2675217
Hongera kwa kujikomboa chumba cha giza, na yebo la kwenda...Mchizzy moonyView attachment 2675217
Kwa picha hiyo atashindwa kuenda na trend ya JF ya kila mtu kuwa mjasiriamali mwenye mijengo ya maana, ndiga za haja na pisikali.Ukisha kua mwenyeji hapa JF ni lazima utaanzisha ID nyingine kabisa,na hii hutoitumia tena kwa kosa ulilofanya lakuweka picha yako hapa.
kuonyesheni alivyotokelezea ki mjini mjini. Kamuita msela wake kabisa ampige picha special ya utambulisho wa JF.
umejuaje kiongozy [emoji1787][emoji1787]Kwa picha hiyo atashindwa kuenda na trend ya JF ya kila mtu kuwa mjasiriamali mwenye mijengo ya maana, ndiga za haja na pisikali.
Kwa hiyo yeboyebo ya yanga na socks ataishia kupopolewa tu na matajiri wa humu.
Ila watu wa design hii wakija kuzoea JF wanajifanya wajuaji balaa.
Kweli kabisa muzeye, ila mwamba kapuyanga mbaya km mjukuu wa Dr Shika.Kwa picha hiyo atashindwa kuenda na trend ya JF ya kila mtu kuwa mjasiriamali mwenye mijengo ya maana, ndiga za haja na pisikali.
Kwa hiyo yeboyebo ya yanga na socks ataishia kupopolewa tu na matajiri wa humu.
Ila watu wa design hii wakija kuzoea JF wanajifanya wajuaji balaa.
Hayo mayebo yebo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]