Utambuzi wa vyeti feki (Al-Maarufu vya Kariakoo)

Utambuzi wa vyeti feki (Al-Maarufu vya Kariakoo)

gwamipascal

Member
Joined
Mar 28, 2020
Posts
15
Reaction score
23
Naomba kuongezewa maarifa au ufaham juu hili swala la vyeti fake. Namaanisha hiv swala la kutambua vyeti fake linafanywa kwa style gan? Je, watumia macho ya kawaida kwa kutazama tu au kuna mashine maalum inayotumika kuvitambua? Kama ni macho ya kawaida bas ni sawa lakin kuna njia tofaut bas hapo ndo ninapata mshangao huu hapa

Kuna jamaa yangu (jina kapuni for security reason) anatumia cheti cha form4 fake kilitengenezwa kariakoo. Nilimuonya sana kua atakuja kupata majanga na hilo gamba bandia lakin cha ajabu anazidi kutoboa tu. Katumia hilo gamba kujoin chuo fulan Dar akasoma coz ya manunuzi na ugavi akaja akaomba kazi aka peleka kabrasha zake ikiwemo hilo gamba fake na kazi akapata. Ameshafanya kazi kampuni kama 3 anatunda na hilo hilo gamba la kariakoo.

Mnielewa wakuu hapa sina tatizo na huyu jamaa kwanza ni rafiki yangu mkubwa ila nahitaj tupeane mawazo juu ya zoezi la kuchunguza vyeti fake linafanyikaje kwa mfumo upi. Na kuna ofis za serkali pia kuna walio tumbuliwa vyeti fake lakin pia kuna waliopona na wanapiga kazi humo humo na vyet hivyo hivyo. Mechanism ikoje hapo?
 
ufeki wa cheti unaanzia usajili wako wa la saba na form 4 kwenye mitiani ya necta. ,huwa necta wanabaki na picha za mtahiniwa.

ukitumia cheti feki ,huwa baraza wanaringanisha picha. ya mtahiniwa aliyesajiliwa na mwombaji wa kazi au elimu.

NB: mara nyingi hutokea mpaka taasisi husika ili. refer data base za necta.
 
Mimi nahitaji kutengeneza pia, nilijua umeshapata mtu uniconnect nae
 
ufeki wa cheti unaanzia usajili wako wa la saba na form 4 kwenye mitiani ya necta. ,huwa necta wanabaki na picha za mtahiniwa.

ukitumia cheti feki ,huwa baraza wanaringanisha picha. ya mtahiniwa aliyesajiliwa na mwombaji wa kazi au elimu.

NB: mara nyingi hutokea mpaka taasisi husika ili. refer data base za necta.
So Kwa sie tuliomaliza miaka iyo ya kale ??
 
Kama unaona anatoboa bas alitengeneza kwa namba za mtahiniwa wa kweli ambae either alikufa ama hakujihusisha tena na maswala ya elimu toka haitimu kidato cha nne...
 
Back
Top Bottom