utamfikiriaje mwanaume kam huyu?

Wanaume sometimes wapo selfish sana.
 
Kuzini (adultery) ni kwa MAWAZO,MANENO na MATENDO.Mwambie mmewe azini hivo, mwambie amshughulikie kama vile kamkuta kwenye fumanizi ,hivi anasubiri mpaka amkute anatoka buibui gesti ndo ajue mmewe mzinifu? ebo!
 
daaah such a pain
i cant say anything, wanaume hebu jirekebisheni kama mna tabia hizo,just respect your wife,love her and take good care of her, kama huwezi ulimuoa wa nini?
 
kuna wanawake wana vifua i see.....

kwa nini asingemuuliza hapo hapo mumewe kuhusu hiyo tabia?

:wink2: ila kama vipi na yeye aanze kusifia wakaka mahandisamu na mapicha yao loh!!!!(dont try this at home....)

yani we acha tu! anasubira kwelikweli! me cngeweza kusubiria na kuomba ushauri kwa kweli
 
Huyu mwanaMama inabidi aweMjanja wa Akili...kipimo cha kwanza cha mwanamke Mzuri ni 'AKILI' hvyo vyote(uzuri wa sura,tabia,hekima,busara) nimatokeo ya akili? Sasa hapa inabidi amuulize mumewe anampendea nn? na anajivunia ni kutoka kwake? Akijibu jibu lolote? Amuulize tena Uzuri wa wanawake wote duniani anafikiri nani ni namba moja kwake? Akimjibu ni yeye? Amuulize tena atajiskiaje kama atakuja(mumewe) na rafk yake yeye(mkewe) aanze kumsifia rafk yake handsome na amuite dear? Akinyamaza amwambie ameona namna mambo na sifa alizokuwa anawapa hao mademu ktk fb. Je ni busara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…