jimmy jimble
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 216
- 216
sio kinyume cha hiyo?wakivaa virefu ndo panakaza au?Anapenda kuvaa raba kuriko viatu venye kisigino
nenda jukwaa la elimu sasa ndio utachoka yani bila ubishani wa vyuo na matokeo hakuna jukwaa la elimu tena.Dah,,, wabongo kwa kujadili ujinga,,,,,, ila ukiweka uzi wa maana huoni hata wa kupita,,,,,
Kabisa mkuu.Dah,,, wabongo kwa kujadili ujinga,,,,,, ila ukiweka uzi wa maana huoni hata wa kupita,,,,,
Anamanisha ukuta wa jengo.. Wallsio kinyume cha hiyo?wakivaa virefu ndo panakaza au?