Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 593
- 1,376
Wakuu salam,
Binafsi simjui kivilee huyu bwana ila ni moja ya kifo cha kiongozi ambacho kimeniuma. Nimeanza kumfahamu hivi karibuniakiwa mbunge karibia na ushindi wake WHO.
Tar 27/8/2024 tukapata habari njema ya yeye kuwa Katibu Mkuu WHO, tar 27/11/2024 tukapata habari za kuhuzunisha juu ya kuondoka kwake!
Wanaonizunguka wengi wanamfahamu kama mtu mkarimu na kiongozi mzuri, natumai kupitia uzi huu hata wenzangu na mimi Gen Z watamfahamu vizuri!
Twende kazi Wakuu
Binafsi simjui kivilee huyu bwana ila ni moja ya kifo cha kiongozi ambacho kimeniuma. Nimeanza kumfahamu hivi karibuniakiwa mbunge karibia na ushindi wake WHO.
Tar 27/8/2024 tukapata habari njema ya yeye kuwa Katibu Mkuu WHO, tar 27/11/2024 tukapata habari za kuhuzunisha juu ya kuondoka kwake!
Wanaonizunguka wengi wanamfahamu kama mtu mkarimu na kiongozi mzuri, natumai kupitia uzi huu hata wenzangu na mimi Gen Z watamfahamu vizuri!
Twende kazi Wakuu