Utamshauri nini Mwanafunzi huyu?

....na huyo Mwl. aliepelekewa kesi ndo walewale...

thank you bro! Ni mawazo na mtazamo wako. ningelikuwa wale wale ningelileta hapa kuomba ushauri wa nini, wastage of time....!!!
 
inaonyesha unamwoga huyo mtongozaj omba msaada kwa mwalim mwenzio usaidiwe nawe...walimu banaaaa,

Good idea, nitalifanyia kazi wazo lako, but siyo kwamba namuogopa.
 
Kutongozwa na mwalimu tu tayari ni adhabu. Katika kusolve hilo inabidi uwe makini usije ukamuweka binti katika wakati mgumu zaidi. Nafikiri ni vizuri ukampa mbinu za binti kumaliza tatizo kuliko kujiinvolve direct.

Good and thank you, I will work on this.....!
 

Asante bro!! Good advice and I promise to work on it!!
 
Nimekumbuka jinsi mwl alivyo mwachisha mwanafunzi wa form 4 mwaka jana mwez wa 5 huko singida baada ya kumpa mimba na mwalm kutokomea makwao huko kenya. Jamani watoto wakike wanateseka sana maana huyu alikuwa anasoma hyo shule ni ya masista lakini walimu wanawatesa sana hawa watoto
 
Kama ni real story cha kufanya inabidi uongee na mwl. wa malezi mshauriane juu ya nini cha kufanya kabla ya kuongea naye kama staff mwenzenu mkiona jamaa siyo mwelewa inabidi sheria ifuate mkondo wake....na hatua kali za kisheria zichukuliwe...lakini pia huwezi jua labda denti pia amekupenda wewe so anatafuta namna ya kuwa karibu na wewe kiushauri zaidi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…