Kutongozwa na mwalimu tu tayari ni adhabu. Katika kusolve hilo inabidi uwe makini usije ukamuweka binti katika wakati mgumu zaidi. Nafikiri ni vizuri ukampa mbinu za binti kumaliza tatizo kuliko kujiinvolve direct.
Kila binadamu anamapungufu yake na kama stafu mwenzio yoyote yule hutataka apoteze kazi au kumharibia cha msingi hapo kama huyo mwl mtuhumiwa haupo karibu nae sana na kuna mwl mwingine ambae upo karibu naye na ni rafiki wa huy6 mwl mi naona ungemtumia ili yeye ndo amwambie huyo mwl in a friendly manner hapo utakuwa umesolve tatizo na staff yenu itaendelea kuwa organised.