Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
mmh jamani dunian watachomwa watu
jana nilikuwa nimeenda kumwacha b mkubwa sehemu ya kitchen party uko mbezi
wakati wa kumchukua wakawa bado kidogo ila ukumbi ulikuwa mzuri
wa vioo na jamaa wamejipnga..sherehe ikiwa inaendele mc nikamwonaa amevaa
kimini balaa kama katumwa ,,mara akaomba wimbo wa rose mhando wa utamu wa YESU
Wapendwa nilisogea nikampigia mama naomba twende nyumban nawapenda yule binti
wakati akaanza kukata viuno mara ilipofika sehemu ya utamu wa YESU akaanzaa kijishika mdomoni
ikifika sehemu ya nimeona utamu wee anajishika chini yaani mkono mzima nikasema uwwwwwwwwwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
nikasema jamani ni shida ndio zinafanya hivi ama....labda niwaeleze nyie mabinti mnaotarajia kitchen party zile
mionjo ya ma mc ndio imearibu ndoa nyingi sana leo hii wengine waanahesabu ndege pale segerea kisa kupiga kisu
mwenza..wenye akili wameamua kuwaita wamama wenye kumjua Mungu na kuwafundisha jinsi ya kuishi na wenzenu
yaaaaaaaniiii nawambia kila kitu cha kumfundisha mumeo ati asitoke kiko kwenye biblia ukitka styles ziko kwenye wimbo uliobora
yaaaaaaaaaaaanni hao ma mc mnajaza mapepeo tu kwenye ndoa zenu....shiriki kuwajali wapendwa wenu
jana nilikuwa nimeenda kumwacha b mkubwa sehemu ya kitchen party uko mbezi
wakati wa kumchukua wakawa bado kidogo ila ukumbi ulikuwa mzuri
wa vioo na jamaa wamejipnga..sherehe ikiwa inaendele mc nikamwonaa amevaa
kimini balaa kama katumwa ,,mara akaomba wimbo wa rose mhando wa utamu wa YESU
Wapendwa nilisogea nikampigia mama naomba twende nyumban nawapenda yule binti
wakati akaanza kukata viuno mara ilipofika sehemu ya utamu wa YESU akaanzaa kijishika mdomoni
ikifika sehemu ya nimeona utamu wee anajishika chini yaani mkono mzima nikasema uwwwwwwwwwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
nikasema jamani ni shida ndio zinafanya hivi ama....labda niwaeleze nyie mabinti mnaotarajia kitchen party zile
mionjo ya ma mc ndio imearibu ndoa nyingi sana leo hii wengine waanahesabu ndege pale segerea kisa kupiga kisu
mwenza..wenye akili wameamua kuwaita wamama wenye kumjua Mungu na kuwafundisha jinsi ya kuishi na wenzenu
yaaaaaaaniiii nawambia kila kitu cha kumfundisha mumeo ati asitoke kiko kwenye biblia ukitka styles ziko kwenye wimbo uliobora
yaaaaaaaaaaaanni hao ma mc mnajaza mapepeo tu kwenye ndoa zenu....shiriki kuwajali wapendwa wenu