M Mathika JF-Expert Member Joined Sep 12, 2017 Posts 279 Reaction score 319 Nov 13, 2018 #21 Vumbi la congo said: vuta picha kama huu ungekuwa wimbo alafu jamaa ndiye mkuu wa basata Click to expand... Ila angefyekelea mbali kabisa,angetueleza hivi vitumbua vinapendwa na lika gani? Ku
Vumbi la congo said: vuta picha kama huu ungekuwa wimbo alafu jamaa ndiye mkuu wa basata Click to expand... Ila angefyekelea mbali kabisa,angetueleza hivi vitumbua vinapendwa na lika gani? Ku
Vumbi la congo JF-Expert Member Joined Oct 26, 2018 Posts 666 Reaction score 981 Nov 13, 2018 Thread starter #22 Mathika said: Ila angefyekelea mbali kabisa,angetueleza hivi vitumbua vinapendwa na lika gani? Ku Click to expand... watoto wanapenda sana asubuhi akiamka unamnunulia kitumbua kimoja anashinda anakichezea mpaka mchana,tena ukikuta hana meno ndio atakilamba lamba tu atakitia mate mpaka chote kinaloa hata mtu mzima anakua hawez kukila tena
Mathika said: Ila angefyekelea mbali kabisa,angetueleza hivi vitumbua vinapendwa na lika gani? Ku Click to expand... watoto wanapenda sana asubuhi akiamka unamnunulia kitumbua kimoja anashinda anakichezea mpaka mchana,tena ukikuta hana meno ndio atakilamba lamba tu atakitia mate mpaka chote kinaloa hata mtu mzima anakua hawez kukila tena
park don JF-Expert Member Joined Dec 2, 2017 Posts 4,923 Reaction score 7,048 Nov 14, 2018 #23 Ngoja ntavila leo