Hili kama walivyosema hapo ju naongeza kuwa msingi wa nje ni ndani, hakuna nje kama hamna ndani. Cha kuanza hapa ni ndani na ndio nje. Nje haiwezi kuwapo kama ndani hakujakuwapo kwanza.
Tuangalie uzembe ndani. Mfano Mme anataka na mkewe anamwambia nimechoka, na kesho mme atachoka kwa kuwa amekuwa-unsatisfied, hata una[ponyimwa chakula mchana, ikishapita saa nane huwa kama unashiba na huwa unakuwa superconscious kama ni mwanafunzi ndio material yanapanda kwelikweli. Hivyo huyu aliyeambiwa nimechoka apatapo mtu nje ambaye wakiwa bafuni, jikoni, garden, chumbani, ukumbini mambo ni ya moto na ile vocabulary ya nimechoka HAIPO akilini mwake huyo mwingine BASI mambo ndion kwishnei! Wa ndani kalikoroga mwenyewe sasa kulinywa inakuwa chungu!!!! Suuutu!