Utamu wa ngoma, uingie ucheze.

Utamu wa ngoma, uingie ucheze.

sartorius

Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
18
Reaction score
0
Wana JF, kwa heshima na taadhima naomba mnikaribishe humu ndani kwani nimechoka sana kukaa nje. Bila shaka naamini mtanikaribisha bila hiyana. Ahsanteni sana.
 
Wana JF, kwa heshima na taadhima naomba mnikaribishe humu ndani kwani nimechoka sana kukaa nje. Bila shaka naamini mtanikaribisha bila hiyana. Ahsanteni sana.

Karibu sana JF...
 
Back
Top Bottom