Utamu wa ngoma, uingie ucheze.

sartorius

Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
18
Reaction score
0
Wana JF, kwa heshima na taadhima naomba mnikaribishe humu ndani kwani nimechoka sana kukaa nje. Bila shaka naamini mtanikaribisha bila hiyana. Ahsanteni sana.
 
Wana JF, kwa heshima na taadhima naomba mnikaribishe humu ndani kwani nimechoka sana kukaa nje. Bila shaka naamini mtanikaribisha bila hiyana. Ahsanteni sana.

Karibu sana JF...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…