Utamu wa penzi ni yale maugomvi - aisee

hahahaha!
CRAZY THURSDAY.....!

ngoja kidogo nitarudi mpwa.

naingia yutyubu shortly nicikilize ule wimbo wa taarab
 
Mjukuu eti unaijua migubegube? Mimi sijawahi kukutana nayo

Hapo ndo aliponichanganya zaidi maana inataka kufanana na yale maneno anayoyasemaga Bi Kopa kwenye wimbo wake wa taarabu ambayo nikiyaweka hapa ....................tutaharibu sred Babu.
 

vile vyangu na la'aziz aisee... naona kama vikitokea come back yake inakua mantashahu aisee
 

There you go girl... maana wakuta hata maji ya kuoga yamewekwa vingine ati'
 

Hii lugha sijaielewa kabisa jamani... ni kiswahili??
 
Hii lugha sijaielewa kabisa jamani... ni kiswahili??
swahili pure hiyo dada... nimeamka vyema sana leo... :first:

lile fundo nshalimega na kutema... basi si utamu wa mua ati... si unajua ukila mua ni zaidi ya mswaki?

Mwenda tezi na omo aisee
 
swahili pure hiyo dada... nimeamka vyema sana leo... :first:

lile fundo nshalimega na kutema... basi si utamu wa mua ati... si unajua ukila mua ni zaidi ya mswaki?

Mwenda tezi na omo aisee

:glasses-nerdy::confused2::confused2::confused2::doh::doh::doh::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::help::help::help::noidea::noidea::noidea:
 
kwa wastaarabu ndo mwanzo wa kuliboresha ucjekosa laaziz wako na wtu kukushushia hadhi ktk jamii

kwa wasio wastaarabu ndio imetoka hiyo wife atabase kuwa alikosea kuwa na wewe wakat kidume kitaona yanini haya matatizo wakat viburudishio vipo kibao tena cheeeap
 
swahili pure hiyo dada... nimeamka vyema sana leo... :first:

lile fundo nshalimega na kutema... basi si utamu wa mua ati... si unajua ukila mua ni zaidi ya mswaki?

Mwenda tezi na omo aisee

Aisee we MTM, safari ya Tanga mbona uliniacha?

Mzee Yusuf kishapona?
 
kwa wastaarabu ndo mwanzo wa kuliboresha ili usijemkosa mamsapu ama mume kwa ajili ya maisha yako,familia kwa ujumla...........
kwa wasio wastaarabu ndo imetoka as wife ataona kuwa hakuwa kwenye right choice while mume ataona kwanini apate usumbufu ikiwa wanawake wapo wengi.......
 
Aisee we MTM, safari ya Tanga mbona uliniacha?

Mzee Yusuf kishapona?

Hii thread inanichokonoachokonoa vile. Maana mi bila vitatizo hayanogi yaani tangu niwe nae raha wiki mbili ugomvi wiki moja. Wonderful enough jana tu tumesolve lakin siku chache zijazo kitawaka. Sa mi sijui wana Jf mtanisaidiaje hapo cause i'm a victim.
 
Eti si wanasema uzuri ni kipimo cha ubaya??

Mmmmh kiaje sasa, uzuri gani kwanza? Wa sura? Wa tabia? Wa umbo? Wa rangi? Wa akili? Au ??????.
 

Pole mwaya kuna viogomvi na ugomvi, sio ndo kila siku mnagombana mnakoseshana raha, na amani halafu useme ni vizuri hapana, lakini kuna ugomvi unatokea halafu mwisho unajikuta umejifunza mambo fulani fulani kutoka kwa mwenzako, ambayo ukiyafanyia kazi unajikuta umeimarisha penzi lako. Hebu angalia mwisho wa huo ugomvi wenu unabaki na nini moyoni?? Kinyongo? Kisasi? Majereha? Au furaha na akili iliochangamka?
 
vile vifundo,madoa huwa yanafunguliwa yote na utamu unaendelea au mbu akingata tu unarudia verse:msela:hawa inzi huwa tunafungulia wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…